Je, Mtani atapindua Matokeo kwa Mkapa?

Je, Mtani atapindua Matokeo kwa Mkapa?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Mwaka 1979. Kindi hiko sheri y offside wal hikuwepo, Mikia FC walipindua matokea ya mabao 4 dhidi ya Mufulira Wonderers FC katika michuano hii hii ya Klabu Bingwa Bara la Afrika. Mikia FC wliweza kupata ushindi amabao 5 n kufnikiwa kuinga hatua inayofuata. Leodgar Tenga aliwahi kusema siku moja kama endapo ile mechi ingechezwa nyakati hizi za sasa basi magoli 4 kati ya 5 yangekuwa batili. Tenga alimaanisha kuwa kuna baadhi ya mabao yalifungwa kwa offside na lingine kwa penati ya upendeleo.

Kumbuka enzi hizo CAF ilikuwa ikitumia waamuzi/marefa kutoka nchi ambayo mechi inafanyika.

Je Mikia FC wataweza kupindua matokeo ndidi ya Kaizer Chiefs wiki ijayo?

EU7ujlOWkAEW7tS.jpg
 
Game plan tuliingia chaka! Ni hilo tu wala siyo ufundi wa wapinzani. Kwa Mkapa hawataamini macho yao!!
 
Simba kwa mkapa atapiga pasi nyingii na pira biriani ila kupita hatapita .. goli 4-0 nyingi sana kwa mpira wa africa kuzipindua zama hizi marefa waoga waoga
 
Simba kwa mkapa atafungwa ila sindhani kama zitafika 4.
 
Kufunga nne SIMBA anaweza ,Ila najiuliza je tutawazuia wao kupata goli, sababu Ile mechi ya Vita ,wangekutulia tungefunga goli hata Saba,Ila washambuliaji wa Simba awapo makini kutumia nafasi
 
Game plan tuliingia chaka! Ni hilo tu wala siyo ufundi wa wapinzani. Kwa Mkapa hawataamini macho yao!!
Kwani mlitaka kuingia na game plan ipi..? Ule si ndio mpira wenu...mnao chezaga.?
 
Back
Top Bottom