Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John Shibuda
Hiyo ni siri ya mwenyezi mungu anayeamua uhai wa binadam.
Hiyo ni siri ya mwenyezi mungu anayeamua uhai wa binadam.
Kwani kila mkuu wa nchi huwekwa madarakani na Mungu?
No. Siyo kila mkuu wa nchi ana wekwa na Mungu. If that was the case tusinge kua tuna ongelea tunayo ongelea leo na dunia hii ingekua paradiso. But God helps those who hemp themselves so maybe it's an indication that we have failed to help our saves find good leaders.
No. Siyo kila mkuu wa nchi ana wekwa na Mungu. If that was the case tusinge kua tuna ongelea tunayo ongelea leo na dunia hii ingekua paradiso. But God helps those who hemp themselves so maybe it's an indication that we have failed to help our saves find good leaders.
Wanajamii,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ndo umekaribia.
Hebu tupeane changamoto kidogo hapa.
Ni nani
- unadhani,
- au ungependelea,
- au unatabiri,
- au una uhakika
atakuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Huna ulazima wa kutoa sababu kwanini umemtaja fulani.
Msijisumbue, wala msiwape watu uhodari eti wa kutabiri. Raisi ni mmoja tu, Mtoto wa mjini Dar, Meja, Raisi JAKAYA MRISHO KIKWETE.Wanajamii,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ndo umekaribia.
Hebu tupeane changamoto kidogo hapa.
Ni nani
- unadhani,
- au ungependelea,
- au unatabiri,
- au una uhakika
atakuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Huna ulazima wa kutoa sababu kwanini umemtaja fulani.
Mkuu umesahau CCM wanasema hawana tamaduni ya kumuondowa Raisi baada ya kipindi kimoja?ikiwa wananchi wanataka au hawataki.
Wanajamii,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ndo umekaribia.
Hebu tupeane changamoto kidogo hapa.
Ni nani
- unadhani,
- au ungependelea,
- au unatabiri,
- au una uhakika
atakuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Huna ulazima wa kutoa sababu kwanini umemtaja fulani.
Ndio nani huyo shibuda?????????????????????John Shibuda