No. Siyo kila mkuu wa nchi ana wekwa na Mungu. If that was the case tusinge kua tuna ongelea tunayo ongelea leo na dunia hii ingekua paradiso. But God helps those who help themselves so maybe it's an indication that we have failed to help our saves find good leaders.
Viongozi wazuri wasipokua na wasaidizi wazuri ni bure tu, sasa hivi TZ tubadilike ,tuwe wazalendo na wasomi waache ubinafsi na ulimbikizaji wa mali ambazo hauna maana sana. Lakini Kiwkwete ndie raisi kwa kipindi kinachokuja kama mungu ataendelea kumpa uhai