Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
Rais ni Mtanzania. Jina sijui, lakini yawezekana akawa aliyepo madarakani kwa sasa. Tusubiri
 
JK maana mafisadi ukichanganya na takrima,wizi wa kura na wapiga kura vilaza lazima CCM ishinde..na hiyo ndio sio siri ya ushindi wao kila siku!
 
Umesomeka mkuu.
Tanzania haijawahi kuwa na Rais mwanamke.

Watakuja kumfukuza uras kama walivyomfukuza wa Au tatizo wabongo hawajui kuiba unaiba mpka unashtukiwa tena within short period?unadhani wazungu hawaibi?they do lakini kwa mahesabu makali hehhehe kazi tunayo wapo watasema Wanataka Joti awe prezident mie nadhani Asha Ngedele jamani lol
 
Sasa haya maswala ya Sheikh Yahya ,maanake utaweza vipi kutabiri wakati hatuna majina ya wanaotaka kugombea?..
Kifupi kama vyama vya Upinzani vitajipanga vizuri na kufikiria kwamba Ushindi mwaka huu 2010 haupo na hauwezi kupatikana isipokuwa ni mwaka wa JK kumalizia ngwe zake, basi ni bora wacheze kamali na kurudi majimboni. Wamtafute mgombea nje kabisa ya fikra zao za kisiasa!

Mbowe, Lipumba, Mrema, Cheyo hawa wote hawana haja wala sababu ya kugombea mwaka kesho kwa sababu Matokeo ya mwaka 2005 ni ushahidi tosha kwao kuwa hawawezi kumshinda JK...Hivyo baina yao kam akuna ushindani ni bora wasubiri wote mwaka 2015 warudishe majina yao kugombea na mtu mwingine wa CCM atakaye kuja.

wanachotakiwa kukifanya sasa hivi ni kumchagua mtu tofauti kabisa.. Kama Dr. Slaa au Mzanzibar anayekubalika kama Salim A Salim ambaye hapendwi na ASP na kajitoa ktk siasa meaning hayupo ktk Uongozi wa CCM Hivyo wanaweza kumvuta toka ktk retirement kwa kazi moja tu.. Kuidondosha CCM na Mtandao na kizuri zaidi ni kwamab yuko kati neutral siii Chadema, CUF, TLP wala NCCR...Wakisha mwondoa CCM mwaka 2010 then mwaka 2015 wanaweza jitenga tena kama ilivyokuwa Kenya kila mmoja wao arudi ktk mrengo anaukubali.. Thats the Only way ya kumshinda CCM.

Hapo naweza kuona ushindani kwa JK.. kwa hali ya leo kisiasa ni watu wawili tu wanaoweza kupambana na JK - Dr. Slaa na Salim.A. Salim kwa sababu hawa wagombea wawili wanakubalika hadi vijijini bila siasa na ahadi za uongo.
 
Huyo mtoto wako wa mjini ameshindwa kupata usingizi hata 2010 haijafika na atayaona maajabu ya Musa. Wazee wa mijifedha wamemkalia kushoto ile mbaya na wanamtandao wa kufa mtu,yeye kavunja makubaliano yaliyomfanya awe hapo. Atabakia kukimbilia kwaakina Sangoma tu.
 
RAisi wa Tanzania nisikiavyo atakuwa Karume na mipango tayari ipo mbioni kama alivyopishwa Mwinyi ndivyo na hapa mchezo utakavyochezwa.
Hivi mtafanya nini iwapo huo ndio uamuzi wa CCM ?
 
Umesomeka mkuu.
Tanzania haijawahi kuwa na Rais mwanamke.

Kwahiyo tutamchagua tu kwakuwa tunahitaji rais mwanamke sio kwa sababu anastahili?kwanza ameshatuletea hasara ya kumlipia deni la bunge la afrika tukimfikisha hapo kwenye urais si ndio kabisa atatutumbukiza kwenye madeni mengine?
hatuhitaji rais mwanamke wala mwanamume[hiyo siyo sifa]tunahitaji awe mtanzania na mwenye nia,uwezo,madili na uthubutu wa kutupeleka kwenye maisha bora.
 
My foot. Slaa a President??Nani atamweka. Askofu Pengo? AU Askofu Ruwaichi. What a sick joke!!
 
CCM haihitaji kura ya yoyote yule tume ya CCM ya uchaguzi itatangazi tu kuwa mgombea wa CCM kashinda
 
Mtu yeyote atakayegombea na kuwa na support na mafisadi.
 
Hapa sioni jipya.
Hata uhai wa Fisi si uko mikononi mwa Mungu?

Kama hulioni jipya sina uwezo wa kukununulia mawani lakini jipya lipo nalo ni; BWANA AKITWAA NDIO MWISHO HUWEZI KUONGOZA HATA UKIPENDWA VIPI!! HATA UKIWA FISI.
 
[...............atakuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA!

Bado demokrasia iko chini haswa katika mlongo hu wa karne ya 21, nasema hivi ikiwa na maana ifuatayo!

-Wanasiasa wengi ni waoga haswa wale wa chama kilichoko madarakani kwani hawezi kumpinga aliyeko madarakani.

-Ukweli ni huu hata kama wanavyama vya upinzani watajiunga pamoja bado ni vigumu kuingia madarakini kwani wote hao hawalengi maslahi ya wananchi bali tu maslahi yao.

-Kwa changamoto tunayoiona ya Raisi Kikwete bado atakuwa madarakani kwa miaka minginne mitano kama ilivyo ada kwa watanzania na si mwingine.

-Hivyo kwa hali iliyoka mwanajamii wa Forum, KIKWETE ndo Raisi wa 2010. Ningalionelea ni bora Uchaguzi usifanyike wa Raisi ila wabunge tupige kura kwani si wote watakaorudi tena Dodoma kutokana na Ufisadi ulioko ndani ya Bunge na nje.

-Itakuwa ni bora karatasi za kura za uraisii zisichapishwe kwa maana hakutakuwa na mabadiliko katika nafasi hiyo, pia kupunguza gharama za uchapishaji.

Wako

Owoya-Jamii Forum
 
Una uliza ndevu kwa Osama?

Ni JAKAYA WA MURISHO WA KIKWETE.


"A SILENT FOOL IS CAUNTED WISE"
 
My foot. Slaa a President??Nani atamweka. Askofu Pengo? AU Askofu Ruwaichi. What a sick joke!!

Mufti Simba atamweka...mbona maswahiba!
yaani wewe rais ni lazima awekwe na mkuu wa dini ama kweli dini hizi zimetupeleka pabaya...
 
Back
Top Bottom