Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
Jamani hatuitaji kufikiria mno juu ya jambo hili maana Afrika imeshaonyesha jinsi demokrasia yake inavyokunjwa. "Kivuitu" pale NEC akishaona mambo yanamuelemea mpangaji wa Ikulu atamtangaza mshindi na kuapisha mara moja. Mfano: Kenya, Zimbabwe, Gabon, Niger na Zanzibar. Nchi tofauti barani Afrika ni Ghana na Botswana.
 
Baada ya kuona demokrasia ya kweli Chadema juma lililopita:


Willibrod Slaa
 
Endeleeni na mazungumzo ya kijiweni maadam NEC ama hii inayoitwa tume ya uchaguzi ni CCM vipi wapinzani wanaweza kushinda??

Ikiwa wasomi wenyewe wanazungumza utumbo basi ni CCM mpaka kiayama. zungumzieeni tume ya uchaguzi isiwe ya CCM kwanza halafu ndio mgombea.
 
Endeleeni na mazungumzo ya kijiweni maadam NEC ama hii inayoitwa tume ya uchaguzi ni CCM vipi wapinzani wanaweza kushinda??

Ikiwa wasomi wenyewe wanazungumza utumbo basi ni CCM mpaka kiayama. zungumzieeni tume ya uchaguzi isiwe ya CCM kwanza halafu ndio mgombea.

Umesikika mkuu.
Bila shaka utajibiwa.
 
Ningependa Nchi Iongozwe hivi....
Rais mwanamke anaweza kuwa: Anna Tibaijuka tu kwa kuwa ndani ya CCM wanawake wengine ni niwakolezaji wa mapambio tu! Makamu wa Rais Salim Ahamed Salim. Spika wa Bunge: Samwel SittaWaziri mkuu Dr Wilbroad Slaa Waziri wa Mambo ya Nje Bwana Mdogo Zitto Kabwe. Waziri wa Fedha Dr. Cyril Chami Waziri wa Utawala Bora Anna Kilango Waziri wa Miundombinu John Pombe Magufuli Biashara Seif Khatib Waziri wa Sheria: Harisson Mwakyembe Mwanasheria Mkuu Tundu Lissu Waziri wa Ndani Selelii Mambo ya Muungano: Hussein Mwinyi Wizara ya Uchumi: Prof. Ibrahim Lipumba Tawala za Mikoa: Aggrey Mwanri Wizara ya Katiba Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi jina silikumbuki lakini ana mawazo mazuri juu ya katiba Wizara ya Michezo Jakaya Mrisho Kikwete. Utalii.... Elimu ya Juu....
 
Ningependa Nchi Iongozwe hivi....
Rais mwanamke anaweza kuwa: Anna Tibaijuka tu kwa kuwa ndani ya CCM wanawake wengine ni niwakolezaji wa mapambio tu! Makamu wa Rais Salim Ahamed Salim. Spika wa Bunge: Samwel SittaWaziri mkuu Dr Wilbroad Slaa Waziri wa Mambo ya Nje Bwana Mdogo Zitto Kabwe. Waziri wa Fedha Dr. Cyril Chami Waziri wa Utawala Bora Anna Kilango Waziri wa Miundombinu John Pombe Magufuli Biashara Seif Khatib Waziri wa Sheria: Harisson Mwakyembe Mwanasheria Mkuu Tundu Lissu Waziri wa Ndani Selelii Mambo ya Muungano: Hussein Mwinyi Wizara ya Uchumi: Prof. Ibrahim Lipumba Tawala za Mikoa: Aggrey Mwanri Wizara ya Katiba Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi jina silikumbuki lakini ana mawazo mazuri juu ya katiba Wizara ya Michezo Jakaya Mrisho Kikwete. Utalii.... Elimu ya Juu....

Mkuu ZED,
Safu yako ya uongozi imesomeka.
Subiri hisia mbali mbali za watu hapa hapa.
 
Ningependa Nchi Iongozwe hivi....
Rais mwanamke anaweza kuwa: Anna Tibaijuka tu kwa kuwa ndani ya CCM wanawake wengine ni niwakolezaji wa mapambio tu! Makamu wa Rais Salim Ahamed Salim. Spika wa Bunge: Samwel SittaWaziri mkuu Dr Wilbroad Slaa Waziri wa Mambo ya Nje Bwana Mdogo Zitto Kabwe. Waziri wa Fedha Dr. Cyril Chami Waziri wa Utawala Bora Anna Kilango Waziri wa Miundombinu John Pombe Magufuli Biashara Seif Khatib[/B] Waziri wa Sheria: Harisson Mwakyembe Mwanasheria Mkuu Tundu Lissu Waziri wa Ndani Selelii Mambo ya Muungano: Hussein Mwinyi Wizara ya Uchumi: Prof. Ibrahim Lipumba Tawala za Mikoa: Aggrey Mwanri Wizara ya Katiba Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi jina silikumbuki lakini ana mawazo mazuri juu ya katiba Wizara ya Michezo Jakaya Mrisho Kikwete. Utalii.... Elimu ya Juu....


gggrrrrr.....
 
Siku za uchaguzi mkuu zinazidi kukaribia.
Watanzania wanapaswa kuamua hatima ya nchi yao.
 
Mimi kama leo ningekuwa na uwezo au hata hiyo 2010(manake naona iko mbali kweli na mambo yanazidi kuharibika),viongozi wakuu 3 wa nchi ningependa wawe hivi:
Rais:Dr.Salim A.Salim
Makamu:Mizengo Pinda
PM:John Pombe Magufuli
Kwa timu hiyo sina shaka hata teuzi za chini zitakuwa nzuri tu na taifa walau litasonga mbele.
 
People let us be serious CCM hawawezi kubadilika, Rais ni nafasi ya Dr. Slaa sasa kwa ajili ya kusafisha na kuziba mianya ya ufisadi mkubwa. Baada ya hapo tunaweza kuchagua Rais mchumi ili ajenge uchumi wa nchi. Kwasasa lazima tuondoe ufisadi kwanza na CCM hawawezi kuondoa hata upinzani si wote wenye nia na uwezo wa kupambana na ufisadi. Dr. Slaa for president.
 
People let us be serious CCM hawawezi kubadilika, Rais ni nafasi ya Dr. Slaa sasa kwa ajili ya kusafisha na kuziba mianya ya ufisadi mkubwa. Baada ya hapo tunaweza kuchagua Rais mchumi ili ajenge uchumi wa nchi. Kwasasa lazima tuondoe ufisadi kwanza na CCM hawawezi kuondoa hata upinzani si wote wenye nia na uwezo wa kupambana na ufisadi. Dr. Slaa for president.

Rudi kwenye reality mjomba acha ndoto.Slaa kuwa Rais 2010 ni sawa na ndoto ya mchana.ccm bado itashika nchi.sasa kama ni changes bora kuotea mabadiliko ndani ya ccm yenyewe(japo ni vigumu sana) ili walau waje watu makini ambao walau wangethubutu kulisukuma taifa mbele.
 
Naona kuna tatiz la wishful thinking na kutoangalia reality ya nchi yetu kwa sasa. Being in JF na kujua mengi mabaya ya CCM hayapelekei CCM kukosa kura!

CCM na JK wao watashika nchi tena hii haina ubishi, unless watanzania hawa hawa ninaowajua watabadilika, na hii lazima external force should be applied,

bado jamani

and what is that external force?
 
Hilo swali ni zuri sana hasa kipindi kila chama kitakuwa kimetoa mgombea wake.
 
Rais Professor Mark Mwandosya
Makamu Hussein Mwinyi
Waziri Mkuu Jumanne Maghembe
Waziri wa Fedha Kaboyonga
Waziri Foreign Shelukindo
 
Although an interrogative, what you asked is not really a question. My answer, accordingly is Kinyambiss of course.lol
 
Back
Top Bottom