Je, Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali?

Mama anapewa urithi gani hapa kama sio urithi wa watoto??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna sehemu nimekataa mkuu, Mimi siifahamu sheria vizuri so kama ipo hivyo mimi ni nani nipinge? Sheria ifuatwe sina tatizo
Demi Sheria zipo kabisa mali zinabaki kwa Mke mpaka atakapofariki na yeye ndipo watoto wanachuku.

Ipo Sheria ya kugawana mali mlizochuma km mtatengana ni pasu kwa pasu km nyumba ni 2 tangu akuoe Moj mke nyingine Mume Mahakama ikiona watoto ni wadogo watabaki kwa Mama hadi wakikua au mali isigawiwe iandikwe ya watoto na Mama akish mojawapo.
TATIZO linapokuja.

Kiuhalisia Mwaamke, Mke akirithi mali za mf Masanja na ana watoto 3 wa marehemu na mmoja kaja naye halafu amemaliza EDA anataka aolewe na Mrema ina maana Mali za Masanja zitasimamiwa na Mrema na hakuna Masanja kusogea

MADA
Huyo mtoto wa nje baba yake bado yupo, ameshamtambua sasa akadai urithi huko na hata Baba wa kambo akifa sidai chochote akapambane na wenzie ,si kawatafuta
 
Kwa hio baba yake kawa responsible?
 
Sawa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikiri wazi kuwa Wanawake katika hili wana tatizo sana nimeshashuhudia mshikaji akioa mwanamke mwenye mtoto na akampenda mtoto mapenzi yaliyopitiliza wakati anaolewa mwanaume nae alikuwa na mtoto wake.

baada ya miaka mitatu sasa zile tabia za kike za kumbagua mtoto wa mwanaume zimeshaanza hasa kukitokea kutokuelewana kidogo ndio huonyesha wazi wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu ni chenga sana, hivyo huyo mkeo amerudisha majeshi kwa jamaa aliyemzalisha then akamtema, what a stuuuuped woman. Ndio maana lazima uwe makini unapofanya choices wakati wa urafiki hadi kuoa, kuoa mtu aliyewahi kuwa na mahusiano hadi kuzaa ni kamari, kanji hawezi kukuacha lazima uumie tu.

Badala ya kuwaza watoto, kuwaza walfare yao, unaanza kuwaza how stupid she is, how if she's dating the guy again.
 
Nyie mna haki ya kurithi mali za baba yenu kama watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Anawasiliana na mzazi mwenzie'
....??????yajayo yanaweza kusikitisha sana.
 
Mtoto wa kambo ana haki ya kurithi mali za mzazi wake, kwa issue yako atarithi mali za upande wa mama yake
 
You are a very WISE woman, hongera kwa hilo..
 
Huyo mtoto wa mkeo HANA haki zozote kuhusu mali zako, ila itakuwa uamuzi wako kumgawia chochote, kumsomesha n.k. Mke wako alikuja kama "package" nilidhani utawajali wote na watoto mliozaa naye.

Mkeo ANAZO haki zote kuhusu mali zako au tuseme mali zenu. Ila ikitokea mzee mzima ukatangulia kwenye haki, kuna uwezekano mali zikagawiwa kwa watoto wote wa mke, hapo ni kama mke wako atakuwa hai.

Ni swali zuri sana, uamuzi unawo wewe, na hakuna wa kukulaumu kama hutampa chochote mtoto wako wa kambo, hasa ukifikiria mali za baba wa mtoto wa kambo hazitarithishwa kwa uzao wako.
 
Ndo maan kuowa aggregate 1,0》》》moja bila sitaki...huko mbele lazima kuwe na kisanga...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…