Lets Get Together
JF-Expert Member
- Nov 26, 2019
- 258
- 429
Wasalamu wakuu.
Kuna baadhi ya watu hawanaga tabia ya kuitika salamu za wengine kutokana na sababu/tabia wanazojua wao.
Ikitokea umemsalimu mtu na ukahisi amesikia Ila hajaitika chini chini huwa unasema nini?
Mimi huwa nasema;
1/ Akiipata tena akafanye sherehe
2/ Kafie mbele
3/ Endelea kujiona wa special
4/ Utaiskilizia kwenye radio next time
5/ .....
6/ .....
Distributed Denial-of-Service
Kuna baadhi ya watu hawanaga tabia ya kuitika salamu za wengine kutokana na sababu/tabia wanazojua wao.
Ikitokea umemsalimu mtu na ukahisi amesikia Ila hajaitika chini chini huwa unasema nini?
Mimi huwa nasema;
1/ Akiipata tena akafanye sherehe
2/ Kafie mbele
3/ Endelea kujiona wa special
4/ Utaiskilizia kwenye radio next time
5/ .....
6/ .....
Distributed Denial-of-Service