Je, Mtu asipoitika salamu yako huwa unasema nini?

Lets Get Together

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2019
Posts
258
Reaction score
429
Wasalamu wakuu.

Kuna baadhi ya watu hawanaga tabia ya kuitika salamu za wengine kutokana na sababu/tabia wanazojua wao.
Ikitokea umemsalimu mtu na ukahisi amesikia Ila hajaitika chini chini huwa unasema nini?

Mimi huwa nasema;
1/ Akiipata tena akafanye sherehe
2/ Kafie mbele
3/ Endelea kujiona wa special
4/ Utaiskilizia kwenye radio next time
5/ .....
6/ .....





Distributed Denial-of-Service
 
Salamu sio lazima ikiwa hamjuani au huna deal na mtu. Sometimes inakuwa ni usumbufu kama mtu yupo busy. Ina destruct concentration. Namsalimia ninayemjua au ambaye nina ishu nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikiwa road nasalimia mmoja mmoja nahakikisha hanipiti mtu bila kumsalimia hadi madogo hadi watoto wadogo nawapa hai nasepa zangu...

Ukinipita bila kunipa hai then umefika mbele ukapata tatizo au unataka kuulizia mahali halafu umenipita bila kunipa hai au salamu, aisee nakupa sheet halafu sikusaidiiiiiiiiii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe siwezi kumsikiliza mtu aliyenipita Bila kunisalimu.
Labda anisalimie kwanza japo mwanzo alinipita.

Nikiwa njiani nina siku na siku,
Siku nikiwa na mood nzuri basi ntasalimia watu wote,nikiwa sina mood nzuri napita kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo sawa nilikuwa sijaelewa mtu gan wa moyo huo na hapo unamalizia na tusi juu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kijana mwenzangu nikahangaike namna hiyo Mimi?
Kwanza huwa naangalia hata mtu wa kumsalimia ..nikiona huyu Mambo mengi, napita kimya.

Wale wakubwa kwa kweli huwa nawaheshimu Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] Mimi siwezi aisee, lazma nikupe hai usipo itika kama umesimama mahali au umekaa lazma nikurudie nikuambie kama kuna tatizo mbona salam yangu hujaitikia, wengi sana wananiomba radhi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…