FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #181
Sawa, tuendelee kusoma michango ya wengine..Sio tu mimi, lakini hakuna kiumbe ambae ana majibu sahihi.
Ni kama ambavyo hauna majibu kabla ya kuzaliwa na wazazi wako ulikua wapi.
Siyo kila anayemfahamu Mungu atajiingiza kwenye mizaha ya kipuuzi.
Omba utamfahamu vyema.
Ninavyomfahamu mimi, hajapata kamwe kubadilika ukuu wake. Inawezekana ukadhani ni nadharia lakini endelea kumtafuta hakika atajidhihirisha kwako
Sawa.Sawa, tuendelee kusoma michango ya wengine..
Tatzo huwa mnamtetea kwa nguvu na kwa kupaniki pale anatohitajika kutujibu sisi, saivi umepanick kwa kutetea usichokijua na wala haujawahi kukiona na unajua wazi huwezi kukiona wala kukijua umekomaza fuvu kutetea tu, ona sasa unaniambia mungu wangu anisaidie na hapo nimekuambia siamini katika hizi mambo, unaniambia mara mizimu, na hapo nimekwambia mizimu mimi siijui yaaani kiufupi unalazimisha majibu unayoyataka wewe, na kwa namna hii hautaweza kujifunza chochote kuhusu ukweli na badala yake utaishia kushikilia propaganda za wazungu bila kujiuliza maswaliSiwezi jua huyo mungu(hongera kwa kuabudu mizimu) alikuwa wapi maana ni mungu wako wewe ila Mungu wa kwangu mie najua, bilashaka huwezi fanya iyo kazi maana akili yako imeishia kwenye mahindi mwambie uyo mungu wako akusaidieee ukishindwa muombe kaka mshana akusaidie maana sibishani na waabudu mizimu mie
Wee nae nahisi huna akili kwenye ilo bichwa lako mungu ndio nani sasa unashindwa hata kujua jinsi Mungu inavyoandikwa Mungu lazima ianzie kwa herufi kubwa iyo ndogo ni ya mizimu shibaamit zako afya ya akili sikushangaiiiTatzo huwa mnamtetea kwa nguvu na kwa kupaniki pale anatohitajika kutujibu sisi, saivi umepanick kwa kutetea usichokijua na wala haujawahi kukiona na unajua wazi huwezi kukiona wala kukijua umekomaza fuvu kutetea tu, ona sasa unaniambia mungu wangu anisaidie na hapo nimekuambia siamini katika hizi mambo, unaniambia mara mizimu, na hapo nimekwambia mizimu mimi siijui yaaani kiufupi unalazimisha majibu unayoyataka wewe, na kwa namna hii hautaweza kujifunza chochote kuhusu ukweli na badala yake utaishia kushikilia propaganda za wazungu bila kujiuliza maswali
Mkuu naona haujanielewa, hauwezi kusema kabla ya muda, wakati muda haukuwepo, maneno kabla, baada n.k yametokana na muda, sasa hauwezi kuuliza nini kilikuwepo kabla ya muda, swali hili halina mantikiKwahiyo Mungu hakuwepo kabla ya muda sio? , Mungu ana Mwanzo?
Then futa jibu lako la awaliMkuu naona haujanielewa, hauwezi kusema kabla ya muda, wakati muda haukuwepo, maneno kabla, baada n.k yametokana na muda, sasa hauwezi kuuliza nini kilikuwepo kabla ya muda, swali hili halina mantiki
Stephen Hawking aliandika katika kitabu chake cha The Grand Design kwamba huenda Mungu hakuhusika katika uumbaji wa ulimwengu kwa maana kwa theory ya cause and effect, alipata wapi muda wa kuumba wakati hapakuwa na muda? (Muda ulianza na big bang)Then futa jibu lako la awali
Hiyo mi mizimu ni nini? Inafananaje? Then nijibu akili ni nini? Then tutaendelea kujadilianaWee nae nahisi huna akili kwenye ilo bichwa lako mungu ndio nani sasa unashindwa hata kujua jinsi Mungu inavyoandikwa Mungu lazima ianzie kwa herufi kubwa iyo ndogo ni ya mizimu shibaamit zako afya ya akili sikushangaiii
Wewe si ni mwanadamu? Unaweza kutuambia uliumbwa umbwaje?? Kwa material gani?Hongera broo kwa uwezo wako mkubwa wa kufikiria kuwa
Binaadamu alijiumba mwenyewe kisha akihisi kuwa ajajiumba mwenyewe bali yupo aliye muumba
Kamba live kabisaaa,,Hadith na nadharia za Mungu Zina utata na contradictions kibao,Watu was kwanza kuanza kuanzisha nadharia za Mungu ni wa accient civilization za kale kama Sumerians, Assyrian, Babylon, Egyptian, Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus, valley nk
Hawa walianza Hizo nadharia baada ya Dunia kutembelewa na viumbe kutoka nje ya mfumo wetu wa Nyota yaani
ANNUNAK
Hao ndio waliomproject maabara Mwanadamu na kumpa ujuzi wote lengo atumike kama nguvu KAZI ya kuchimba dhahabu,dhahabu ilihitajika na hao viumbe kuizirudisha Sayari zao katika Hali ya kawaida baada ya kuharibiwa na vita vya
Nuclear reactors baada ya viumbe wale kumaliza mission na kuondoka Watu wakaanza waabudu kama Miungu na hata mwanzilishi wa Imani za Abrahamic alitokea Uru ya Ukaldayo Mesopotamia alikua akimuabudu Mungu El au Elohim (YHW)
Huyo alikua ni Moja kati ya Miungu wa Annunak na mapokeo mengi ya wayahudi Yana masimulizi ya sifa za huyo Mungu wao El mpaka pale zilipokuja zaliwa dini zenye mlengo wa huyu El kama Judaism, Christianity and Islamic
Na sio Kwamba El alikua ndie Mungu pekee hapana kulikua na Miungu wengi sana ukienda Kwa wahindi Wana Mungu wao Rama mwenye sifa kama za El
Ukienda misri Kuna Ra
Mesopotamia Kuna Anu
Kuna Enki
Na wengine wengi sana wote Wana mapokeo tofauti tofauti ila asili Yao ni Moja na Hao Miungu baadhi Yao walikua na bifu Kali sana mfano
Elohim YHW aliingia mkataba na agano na Abraham Kwamba uzao wake wote Watakua Watu wake na ni Marufuku kujihusisha na miungu mingine lengo lake awe na Watu wa kukamilisha mission zake Kwa urahisi na lengo la huyo Annunak El ni gold na dio maana mmoja wa uzao wa Abraham yaani Suleiman alikua na uwezo mkubwa sana na akili nyingi aliweza kukusanya gold Kwa maelfu ya matani na baadae zikapotea ghafla tu hata hatujui zilienda wapi hao ndio ANNUNAK na mission zao duniani
Nahitimisha ya Kwamba Hizo Hadith za Mungu mkuu muumbaji wa ulimwengu ni uongo na huyo Mungu hayupo na hajawahi kuwepo ila tu Watu waliamua kuwaita accient ANNUNAK miungu ila walikua Alliens tu!
Kama ulivyo wewe leo ulivyo Robot la CCM na wao ndio hivyo hivyo toka kaleKamba live kabisaaa,,
Kwamba sisi ndo tulikuwa kama maroboti yao? Yaani vitendea kazi?[emoji2]
[emoji3][emoji3][emoji3]Naunga mkono hoja[emoji817]Kama ulivyo wewe leo ulivyo Robot la CCM na wao ndio hivyo hivyo toka kale
kuna tofauti gani Kati yao na yako?
Fikiria nje ya box halloo[emoji16][emoji16]
Na hili ndio jawabu.Maoni yangu: Kuna multiple dimension ya muda, yaani muda sio one dimension kama tunavyodhani, hivyo huenda Mungu anaishi katika dimension tofauti.