cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Siwezi jua huyo mungu(hongera kwa kuabudu mizimu) alikuwa wapi maana ni mungu wako wewe ila Mungu wa kwangu mie najua, bilashaka huwezi fanya iyo kazi maana akili yako imeishia kwenye mahindi mwambie uyo mungu wako akusaidieee ukishindwa muombe kaka mshana akusaidie maana sibishani na waabudu mizimu mieSasa kama haujui funza kafikaje kwenye embe utaweza kweli kujua mungu alikuwa wapi kabla ya kuumba ulimwengu?
Hapa mi nitakuwa sawa na mtu anaelima mpunga kwa lengo la kuvuna mahindi.
Hiyo kazi sifanyi