Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Wakuu kuna swali hili mara zote linanitatiza aisee je kuna watu mungu ameumba kuwa maskini? Na kuna wengine ameumba kuwa matajiri? Na kama hivyo kwanini? Nchi nyingi za kiafrika watu wengi ni masikini kulinganisha na bara la ulaya,America na Asia?
Kwamba kuna watu wa rangi fulani l(afrika) na watu wa ngozi nyeupe ukilinganisha waAfrika wengi ni masikini pamoja na nchi zao lakini kuna maliasili za kutosha lakini raia wao ni maskini wa kutupwa Sana aisee
Je, kuna watu au bara fulani limeumbwa kuwa maskini milele je umasikini unaumbwa na mungu? Au watu tunajitakia?
Kwamba kuna watu wa rangi fulani l(afrika) na watu wa ngozi nyeupe ukilinganisha waAfrika wengi ni masikini pamoja na nchi zao lakini kuna maliasili za kutosha lakini raia wao ni maskini wa kutupwa Sana aisee
Je, kuna watu au bara fulani limeumbwa kuwa maskini milele je umasikini unaumbwa na mungu? Au watu tunajitakia?