Haya umeambiwa na nani wewe?Limebakia sharti moja. Binadamu wote dunia nzima, leo hii tukimtambua na kumkubali Mungu wa kweli na tukamwombea shetani msahamaha, atasamehewa siku hiyo hiyo.
Unauhakika upi!?Allah subhana watalahh
shetani ni kiumbe huru kwaiyo alimwacha afate uchaguzi wake ( haikumoendeza kuumba kiumbe roboti mtu na shetani ilikuwa lazima wawe na uhuru wa kuyafata mapenzi yao ).....na hata adam na hawa walikuwa na uhuru wa kuchagua kufata wanachoona bora wao watii au waasi...MUNGU anaupendo wa milele ametoa nafasi kwa kila mtu kuchagua hata ivi leo bado nafasi ipo kwa kila anayeishiSifa moja wapo ya creator anaouwezo wa kuedit alivyovitengeneza.
Je Mungu huyo mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote hakuwa na uwezo wa kuedit mindset ya shetan huyo akakubali kuomba msamaha?
Kwanini aruhusu kosa hilo lije kuathiri vizazi vya viumbe wengine (human)?
Huon kama hakuna logic hapo?
Huyo Mungu wako ni wa haki kweli?
Je ni Mungu wa upendo kweli?
Je Mungu huyo ambae aliacha/aliwapa uhuru watu wafuate chaguzi zao, ilikuwaje akakasirika na akawaangamiza watu hao aliowapa uhuru wa kuchagua mabaya kipindi kile cha gharika?shetani ni kiumbe huru kwaiyo alimwacha afate uchaguzi wake ( haikumoendeza kuumba kiumbe roboti mtu na shetani ilikuwa lazima wawe na uhuru wa kuyafata mapenzi yao ).....na hata adam na hawa walikuwa na uhuru wa kuchagua kufata wanachoona bora wao watii au waasi...MUNGU anaupendo wa milele ametoa nafasi kwa kila mtu kuchagua hata ivi leo bado nafasi ipo kwa kila anayeishi
Juyo nuwa sijui na nna uhakika sio Mungu maana Mungu wa kweli ni mmoja tu Allah, la illah ila Allah.Unauhakika upi!?
Umewahi kumskia Nuwa na unadhani sie Mungu wa kweli?
Unaweza kuthibitisha kwamba Allah yupo?
Kwanza sahisha hapa,sheitani malaika,hivi ni viumbe 2 tofaotiHabari wana JF?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kwenye maandiko ya dini mbalimbali tunaona Mungu anahamasisha kupendana na kusamehe.
Tunatambua kwamba uadui kati ya Mungu na shetani ulitokana na Shetani (Malaika) kumuasi Mungu.
Je, ikitokea siku shetani akakubali kukiri na kutubu makosa yake na kumuomba msamaha Mungu na kurudi kumsujudia, Je, Mungu atamsamehe shetani?
Kama ni hapana, ni kwanini Mungu hatamsamehe?
Bado hujanipata ninachomaanisha, "siku tukimtambua na kumkubali Mungu wa kweli". Ukirudi kinyume nyume inasomeka hivi " huyo Mungu wako unayemwamini unapaswa kumjulisha kwa watu wote na wamkubali ili shetani hasamehewe".Mungu wa kweli ni yupi!?
Sijakuelewa.Bado hujanipata ninachomaanisha, "siku tukimtambua na kumkubali Mungu wa kweli". Ukirudi kinyume nyume inasomeka hivi " huyo Mungu wako unayemwamini unapaswa kumjulisha kwa watu wote na wamkubali ili shetani hasamehewe".
Kama unaongelea uhalisia, Mungu hawezi kumsamehe shetani, kwa sababu Mungu hayupo na Shetani hayupo.Habari wana JF?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kwenye maandiko ya dini mbalimbali tunaona Mungu anahamasisha kupendana na kusamehe.
Tunatambua kwamba uadui kati ya Mungu na shetani ulitokana na Shetani (Malaika) kumuasi Mungu.
Je, ikitokea siku shetani akakubali kukiri na kutubu makosa yake na kumuomba msamaha Mungu na kurudi kumsujudia, Je, Mungu atamsamehe shetani?
Kama ni hapana, ni kwanini Mungu hatamsamehe?
Kwamaana sikuelewi unaposema huyu Mungu ninayemuamini.Bado hujanipata ninachomaanisha, "siku tukimtambua na kumkubali Mungu wa kweli". Ukirudi kinyume nyume inasomeka hivi " huyo Mungu wako unayemwamini unapaswa kumjulisha kwa watu wote na wamkubali ili shetani hasamehewe".
Kama humjui Nuwa unapataje uhakika kuwa si Mungu wa kweli?Juyo nuwa sijui na nna uhakika sio Mungu maana Mungu wa kweli ni mmoja tu Allah, la illah ila Allah.
Uthibitisho ni Quran
Quran ni uthibitisho tosha. Haijatungwa na watu na imesshushwa kutoka kwa Allah.Kama humjui Nuwa unapataje uhakika kuwa si Mungu wa kweli?
Quran itathibitisha vipi uwepo wa Allah katika uhalisia, zaidi tu ya kuthibitisha uwepo wa Allah katika hadithi hizo za uongo zilizotungwa tu na watu?