PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
pole ndugu yangu kwa kudanganywa wito wangu kwako soma biblia vizuri utaufahamu hukweli, wacha kuambiwa hadithi ambazo hazina ukweli ndani yake.Jehovah,yule mungu katika Agano la Kale ni Satan. Ndio maana Knights Templar walikuwa wanachukiwa sana na Vatican. Waligundua kwamba Yesu alikuwa anagombana na Wafarisayo,anasema Jehovah wao ni Satan. Mafarisayo walikuwa wamekasirika sana,wakasema yupo jamaa mmoja hapa kazaliwa na kahaba eti anasema mungu wetu ni shetani.
Ukisoma biblia utagundua ugomvi wa Yesu na mafarisayo ni mafarisayo kumwabudu Mungu kwa unafiki wa midomo yao, huku Mioyo yao ikiwa mbali na Mungu.
Ndiyo maana nakwambia someni maandiko mfahamu kweli na kweli iwaweke huru, acheni kusikiliza uzushi.