Mkuu kitu ulichokitengeneza mwenyewe hakina uwezo wa kukuzidi intelligence maana ni sehemu ya uelewa wako.Unapimaje "intelligence power" ? Computer ikimzidi binadamu "intelligence power" computer hiyo itakuwa binadamu?
Hujjibu intelligence unaipimaje?Mkuu kitu ulichokiengeneza hakina uwezo wa kukuzidi intelligence maana ni sehemu ya uelewa wako.
Turudi sasa kwenye swali la msingi..mwanzo wa hao wazazi wa kwanza kabla ya sexual reproduction ni nini?
Kwahiyo wewe kuwepo ama kutokuwepo kwa mungu si suala ambalo litabadili chochote katika mambo unayoyafahamu?Kwamba mungu amethibitishwa.
Hujajibu swali. Unaweza kuthibitisha mungu yupo?
Umesahau kama umetumia neno "wanadamu" katika maelezo yako hapo mwanzo ajabu tena wewe unakuja kuuliza binadamu ni nani? Ubishi wako ni wa kitoto kweli yani Kiranga.Kwanza kabisa.
Binadamu ni nani?
Unamjuaje huyu ni binadamu na huyu si dinadamu?
Mambo kama yepi? Unaweza kutoa mfano?Kwahiyo wewe kuwepo ama kutokuwepo kwa mungu si suala ambalo litabadili chochote katika mambo unayoyafahamu?
Hapana.Umesahau kama umetumia neno "wanadamu" katika maelezo yako hapo mwanzo ajabu tena wewe unakuja kuuliza binadamu ni nani? Ubishi wako ni wa kitoto kweli yani Kiranga.
Ni kweli nina upungufu mkubwa sana wa kujaza mawazo ya watu kichwani kama ufanyavyo wewe,na ndiyo maana tunabishana hapa maana kama ningekuwa kama wewe basi hata nisingekuwa nabishana na wewe.Hapana.
Ni wazi hujawahi kusikia "Socratic method".
Tatizo si kwamba ubishi wangu ni wa kitoto.
Tatizo elimu yako ni ndogo. Ungewahi kusoma hata kitabu kimoja cha Plato usingeshangaa namna ninavyobisha na kuuliza maswali.
Tatizo hujawahi kumsoma Plato, nikikupa inquiry by Socratic method huelewi nafanya nini.
Mfano watu wenye kuamini kuwa kuna mungu kuna vitu ambavyo huvifahamu kuwa vimeumbwa na mungu kama binadamu,na kuna mambo ambayo huyafahamu kuwa ni katika mipango ya mungu kama kifo.Mambo kama yepi? Unaweza kutoa mfano?
Halafu mbona hujibu maswali yangu unataka nikujibu wewe tu?
Unaweza kuthibitisha kwamba mungu yupo?
Unaweza kutaja kitu kimoja ambacho kitabadilika kwangu?Mfano watu wenye kuamini kuwa kuna mungu kuna vitu ambavyo huvifahamu kuwa vimeumbwa na mungu kama binadamu,na kuna mambo ambayo huyafahamu kuwa ni katika mipango ya mungu kama kifo.
Kwa hivyo endapo utasema hakuna mungu huelewaji wao wa hayo mambo utakuwa umetatizika,na kwa upande wa wasioamini mungu hali pia itakuwa kama hivyo.
Una mkakati gani wa kurekebisha hilo?Ni kweli nina upungufu mkubwa sana wa kujaza mawazo ya watu kichwani kama ufanyavyo wewe,na ndiyo maana tunabishana hapa maana kama ningekuwa kama wewe basi hata nisingekuwa nabishana na wewe.
Kwahiyo kama hali yangu hii ni udogo wa elimu basi nina elimu ndogo kuliko hata unavyofikiri.
Hayo uliyoyaeleza ndivyo unavyoelewa na ndiyo maana nikasema endapo itathibitishwa uwepo wa mungu pengine uelewa wako huo utakuwa tofauti na uelewavyo sasa.Unaweza kutaja kitu kimoja ambacho kitabadilika kwangu?
Dunia ambayo ina mungu wenu huyo ina contradiction. Hiyo ndiyo isiyoeleweka. Kama mungu yupo na amethibitishwa, hizi contradictions mtazielezeaje?
Hao unaosema "watu wenye kuamini mungu" hivyo vitu ulivyovitaja kwamba vimeumbwa na mungu kama binadamu na kifo, ukifuatilia sana utakuta kwamba wanafikiri hivyo kwa sababu ya kukosa uchuinguzi tu.
Mwili wa binadamu una inefficiencies, una produce waste, unaumwa magonjwa etc. Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote hawezi kuwa kaumba mwili wenye mapungufu kama huu.
Dunia ambayo haina mungu haina mzigo wa kuelezea imperfections, na hivyo haitatizi kuielezea.Kama kuna kitu imperfect, hilo halishangazi, kwani haijaumbwa na a perfect god.
Kinachotatiza Zaidi ni uwepo wa mungu, si kutokuwepo kwa mungu.
Sihitaji kumeza mawazo ya watu hali ya kuwa na mimi nina uwezo kufikiri pia.Una mkakati gani wa kurekebisha hilo?
Mchakato wa kuelimika ni pamoja na kujaza mawazo ya watu na kuchuja ili kubaki na yanayofaa.
Usije kubishana kwa sababu ya kukosa kuelewa mambo bila ya kuwa na mkakati wa kurekebisha tatizo la msingi.
Endapo haijaenda.Hayo uliyoyaeleza ndivyo unavyoelewa na ndiyo maana nikasema endapo itathibitishwa uwepo wa mungu pengine uelewa wako huo utakuwa tofauti na uelewavyo sasa.
Hakuna utakachofikiria ambacho hakijawa mawazo ya watu kimsingi.Sihitaji kumeza mawazo ya watu hali ya kuwa na mimi nina uwezo kufikiri pia.
Huyu mh yupo wapi??Hakuna utakachofikiria ambacho hakijawa mawazo ya watu kimsingi.
Erasto Mpemba aligundua "The Mpemba Effect", watu wakabukua wakakuta kumbe Aristotle alishaandika hayo mambo. Kina Edgar Allan Poe walishandika kuhusu ma black holes kabla hata hayajagunduliwa kisayansi.
Ukifikiri vingine utakuwa unajikweza visivyo.
Unaweza kutaja hata kimoja?
Yaan inashangaza sana watu wanaodai mungu hayupo
huku wakisalimu amri kila kitu alichosema mwenyezi mungu maelfu ya miaka iliyopita
Mfano (1) mungu anasema ndani ya kur an binaadamu hajapewa elimu ya roho ndiyo maana tunashuhudia roho inatolewa mbele ya madakitar bingwa lkn wanashindwa kuzuwia
(2) mungu anasema kila nafsi lazima itaonja mauti
Pamoja na maendeleo makubwa ya kielimu iliyopo sasa
Mmeshindwa kukanusha haya
Inaonekana wazi aliye tamka haya ana elimu zaid yetu
Kwan amesema mambo ambayo mpaka leo hakuna aliye kanusha imebaki bra braa tu
Swadaktaaaaaaaaaaaaaaa!!Yaan inashangaza sana watu wanaodai mungu hayupo
huku wakisalimu amri kila kitu alichosema mwenyezi mungu maelfu ya miaka iliyopita
Mfano (1) mungu anasema ndani ya kur an binaadamu hajapewa elimu ya roho ndiyo maana tunashuhudia roho inatolewa mbele ya madakitar bingwa lkn wanashindwa kuzuwia
(2) mungu anasema kila nafsi lazima itaonja mauti
Pamoja na maendeleo makubwa ya kielimu iliyopo sasa
Mmeshindwa kukanusha haya
Inaonekana wazi aliye tamka haya ana elimu zaid yetu
Kwan amesema mambo ambayo mpaka leo hakuna aliye kanusha imebaki bra braa tu