Unaweza kutaja kitu kimoja ambacho kitabadilika kwangu?
Dunia ambayo ina mungu wenu huyo ina contradiction. Hiyo ndiyo isiyoeleweka. Kama mungu yupo na amethibitishwa, hizi contradictions mtazielezeaje?
Hao unaosema "watu wenye kuamini mungu" hivyo vitu ulivyovitaja kwamba vimeumbwa na mungu kama binadamu na kifo, ukifuatilia sana utakuta kwamba wanafikiri hivyo kwa sababu ya kukosa uchuinguzi tu.
Mwili wa binadamu una inefficiencies, una produce waste, unaumwa magonjwa etc. Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote hawezi kuwa kaumba mwili wenye mapungufu kama huu.
Dunia ambayo haina mungu haina mzigo wa kuelezea imperfections, na hivyo haitatizi kuielezea.Kama kuna kitu imperfect, hilo halishangazi, kwani haijaumbwa na a perfect god.
Kinachotatiza Zaidi ni uwepo wa mungu, si kutokuwepo kwa mungu.