Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Mungu akusaidie,akufungue ufahamu na kukupa maarifa ya kwamba kuamini yeye yupo sio imani potofu kamwe.Mi naishi katika uwepo wake ndo maana najua.Wewe huwezi kujua hadi uwe na utayari.
wewe ulipaswa kujibu hoja nasio kuruka ruka maswali ''' binafsi na amini uwepo wa mungu lakini haimaanishi kuwa sipaswi kuwa sikiliza wenye hoja zakutoamini uwepo wake ..kuna wakati huwa wanakuja nahoja nzuri tu fikirishi hoja ambazo watu tunaoamini uwepo wa mugu tunashindwa kuzijibu ...yatupasa tuwe tunajifnza kutafuta maarifa mapya pia tofauti na Yale ambayo tumekuwa tunafundishwa na wazazi wetu ama walimu wetu pasipo kukubali kwa utashi wetu ..yaani tume shinikizwa kujifnza
 
wewe ulipaswa kujibu hoja nasio kuruka ruka maswali ''' binafsi na amini uwepo wa mungu lakini haimaanishi kuwa sipaswi kuwa sikiliza wenye hoja zakutoamini uwepo wake ..kuna wakati huwa wanakuja nahoja nzuri tu fikirishi hoja ambazo watu tunaoamini uwepo wa mugu tunashindwa kuzijibu ...yatupasa tuwe tunajifnza kutafuta maarifa mapya pia tofauti na Yale ambayo tumekuwa tunafundishwa na wazazi wetu ama walimu wetu pasipo kukubali kwa utashi wetu ..yaani tume shinikizwa kujifnza
Sawa
 
Unaweza kutaja kitu kimoja ambacho kitabadilika kwangu?

Dunia ambayo ina mungu wenu huyo ina contradiction. Hiyo ndiyo isiyoeleweka. Kama mungu yupo na amethibitishwa, hizi contradictions mtazielezeaje?

Hao unaosema "watu wenye kuamini mungu" hivyo vitu ulivyovitaja kwamba vimeumbwa na mungu kama binadamu na kifo, ukifuatilia sana utakuta kwamba wanafikiri hivyo kwa sababu ya kukosa uchuinguzi tu.

Mwili wa binadamu una inefficiencies, una produce waste, unaumwa magonjwa etc. Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote na ujuzi wote hawezi kuwa kaumba mwili wenye mapungufu kama huu.

Dunia ambayo haina mungu haina mzigo wa kuelezea imperfections, na hivyo haitatizi kuielezea.Kama kuna kitu imperfect, hilo halishangazi, kwani haijaumbwa na a perfect god.

Kinachotatiza Zaidi ni uwepo wa mungu, si kutokuwepo kwa mungu.
Mi sijakuelewa kbsaaaa
 
Nikisoma Vitabu Vya Dini Hasa Biblia... Mungu wa Kuanzia Kitabu Cha Mwanzo Au Vitabu Vya Kale Ni Tofauti Sana kitabia na Mungu wa Agano Jipya.

Tabia za KiMungu Alizokuwa nazo Katika agano la Kale Nikilinganisha Na Agano jipya naona Tofauti Kubwa Sana

Mfano AGANO LA KALE
Mungu Alikuwa ni Wa Hasira Sana na Anayependa Sana Waumini wake Wafuate Sheria ... Kulikuwa na Sheria Za Kitakatifu Mfano Kujiosha Mwili... mavazi.. Kuhudumia Sehemu ya Kuabudia kwa usafi wa hali ya juu... kuvukisha Ubani... kujitawaza... n.k n.k

Sasa Nitapokuja Kusoma Agano jipya Mungu anakuwa Amebadilika Sana Hasa Katika Kuabudiwa.. .. Yale Mambo ya kale aliyotaka hayapo tena.. Je Mungu amebadilika Hataki Tena Ubani... Zawadi za kuteketezwa Alizosema zinamvutia?

Je Kuna Ubaya Gani Kutoa Sadaka Za hivyo.. kuna Ubaya Gani Kurudia Kule kwa Kale.. Kujisafisha Uendapo Kuabudu..... Kuwa Msafi Au kujitawaza kama kale...
Bible is contradicted ndio maana wazungu wamesha ikimbia siku nyingi. Wamewaachia nyie inabidi uwaelimisha na wengine manake ww umesha anza kui question. Na hapo ndio utapata ukweli kamili
 
Of course maelezo, kitu gani katika maelezo hujaelewa?

Au huelewi hata ambapo hujaelewa ni wapi?
hahaa kumbe upo online ..kwakweli mimi ni muislam lakini ukifuatilia deep kuhusu haya maswala ya dini yanatia kichefu chefu aiseee ..Mara cjui malaika ana mabawa " Mara cjui tukifa tutakwenda mbinguni ..ilahli mbingu mpka leo haijulikani ilipo
 
Upeo waki-gt hautoshi kumdadavua Mungu sababu ni utashi mdogo sana.
 
Mungu yupo ; Vithibitisho, ni Uumbaji wake, Matendo yake, Wateule wake, Ukuu wake, Sheria zake, Elimu yake, Siri zake, Upendo wake, Rehema zake, Nguvu zake, n.k
Hivyo ulivyovitaja unaviona kwa macho!!
 
Ndio ni yule yule, Jana, Leo na hata Milele.
Katika Agano la Kale alikuwa mkali ili kuwathibitishia watu kuwa yeye yupo mwenye nguvu kuliko wote.
Katika Agano Jipya, yeye ni mpole na kwakuwa kila mtu anamjua, ameleta Ujumbe wa Upendo.
Mpende Mungu na jirani yako kama nafsi yako.
Kwa jinsi hii Mungu ameupenda Ulimwengu hata amemtoa Mwanaye wa pekee ili kila amwaminiye asipotee.
Mungu ni Upendo kwa sasa.
 
upload_2018-3-14_13-16-54.png


Hakuna mungu, huyo unayemsoma ni hadithi tu zimetungwa na watu.

Ukijua hili swali lako halitakutatiza.

upload_2018-3-14_13-18-23.png


upload_2018-3-14_13-19-14.png


upload_2018-3-14_13-20-4.png



upload_2018-3-14_13-21-23.png


upload_2018-3-14_13-24-8.png

upload_2018-3-14_13-25-11.png


upload_2018-3-14_13-26-26.png


upload_2018-3-14_13-30-6.png


upload_2018-3-14_13-31-43.png


upload_2018-3-14_13-33-13.png


upload_2018-3-14_13-34-33.png



Mkuu anahoja za msingi mzijibu kwa ustaarabu tu msimtukane huku hamna jibu mlililolitoa.Sasa mtumishi wa Mungu unatukana wazi tu halafu mpagani Kiranga ndio anakwambia usitukane jibu tu kistaarabu.Hapa kuna tatizo

Mjitokeze mjibu kwa hoja na akiamini ataenda kuongeza Kanisa
 
Back
Top Bottom