Je! Mungu ni yule yule?

neno mpumbavu sihata mimi naweza kukwambia tu "" kwahiyo kwakuwa limetoka kwenye Bible basiii umehadaika ..empty set kabisaa
Mkuu, mimi nimenukuu tu na kuona ni hekima kuitumia hiyo nukuu.

Vv
 
Hujaweza kuielezea vizuri hiyo nguvu.

Unaposema nguvu kubwa zaidi ya uwezo wa binadamu, unamaanisha nini?

Nimekuuliza nguvu kama ya jua umekataa.

Bado hata unachouliza wewe mwenyewe hujaweza kukielezea, ila unanilazimisha tu kwamba unajua nimeelewa.

Nimeelewa vipi swali ambalo hata wewe unayeuliza umeshindwa kuliuliza kwa ufasaha?
 
daaaahh nasikitika kuona hoja zako nzito kama hzi huwa zinajibiwa na watu wenye hoja nyepesi mnooo ""
 
Ubongo wetu unaweza kufikiri kwa kadri kubwa mno, kupanga mambo, kusababu mambo n.k.
halafu unakutana na "Mbwa mdogo" anasema ubongo wetu ulijitojieza holehae/shakalabagala wenyewe tu bila Muangalizi yeyote...
pita link hapo kuondoa ujinga huo

Je, Kuna Mungu? | Maswali ya Biblia
 
the most high and powerful holy spirit than all of ours ,,,,,he is the uniting holy spirit from the all others difference spirits ,,he is the centre of peace
Thibitisha kwa kiswahili bhana wengine hatujasoma

Afu inaonesha huna hoja za kujibishana jamaa
 
neno mpumbavu sihata mimi naweza kukwambia tu "" kwahiyo kwakuwa limetoka kwenye Bible basiii umehadaika ..empty set kabisaa
Watu wanaogopa kuitwa wapumbavu kuliko wanavyoogopa upumbavu wenyewe.

Kwa hiyo waliojua reverse psychology wakajua ukitaka watu washike upumbavu, waambie kukataa upumbavu ni upumbavu.

Kwa mtu anayeogopa kuitwa mpumbavu, mstari mmoja wa Biblia unaosema "mpumbavu amesema hakuna Mungu" unamfunga asihoji uwepo wa Mungu.

Wakati upumbavu halisi ni kutohoji uwepo wa Mungu.

Biblia ni kitabu chenye tricks kali sana.
 
aiseeee...
 
kitendo cha uume wake kuangalia chinï na akiona uke unaelekea mbele huo ni uweza wa Mungu
 
Mjadala wa uwepo wa mungu ni sawa na ule wa uwepo wa uchawi!

Hadi leo hakuna, iwe humu JF au kwingineko, aliyenithibitishia kuwa uchawi upo!

Mambo ya kufikirika tu.
 
aiseee kwakweli hao mafilosofia wa hicho kitabu walijua kucheza na akili za watu mnooo aiseee Ina staajabisha mnooo kuona Mungu anayetupnda Muweza wa yote akituhukumu kwa kutupatia kifo kwa makosa ambayo wamefnya watu ambao hata hatuwajuhi na huwenda hata kama tungewajua tusingekuwa na ushirika nao pia ..yaani kila mtu angekuwa na habari zake ..yaani tunda wale wengine adhabu tupew sote ..nonsense ...sisi tunaujua hata huo utamu wa hilo tunda ukoje ...tukisema kuwa huyo Mungu nimuonevu tutakuwa tunakosea ama !!!?

yaaani watu wanashindwa kujiuliza maswali madogo kama haya...aisee kweli tumepigwa brain wash
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…