hahaaa umekuja !!? umeona wameshamkimbia kianga !?? tatizo watu waliokuja kujibu hoja zake niwepesi mnooo "" hii hoja nibora ungeianzisha kule kwenye jukwaa letu LA watu wenye akili nyingiHahahaha mkuu kweli hutaki mchezo
Alisema huwezi kudhibitisha kitu ambacho hakipo!!! Yeye amesema Mungu hayupo sasa hapo unataka adhibitishe nini?Hivi Kiranga amewahi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo? Kuna ushahidi aliokuja nao kuthibitisha kwamba Mungu hayupo? Au ni dhana ile ile iliyozoeleka ya kuzunguka mbuyu!
Biblia inajipinga yenyewe katika mambo mengi sana na hivyo haiwezi kuchukuliwa kama kitabu cha kukikubali kama neno la Mungu.
Vivyo hivyo Quran.
Utasemaje Philosophy of Religion inagusia mambo ambayo mimi sigusii wakati naongelea the problem of evil, a central problem in Philosophy of Religion kina Aquinas, Anselm, Russell mpaka Plantinga wameishindwa kuijibu?
Tunaporuhusu bongo zetu zitawaliwe na kutaka majibu na ithibati za kidunia kwenye ulimwengu wa roho ndio hapo mkanganyiko unapoanza....
Jambo lolote la kiroho halina ithibati za kisayansi hivyo mtu anapokukazania umthibitishie uwepo wa Mungu nawe ukaanza kubabaika jua umekwisha... Atacheza nawe atakavyo kwakuwa tayari ameshakutega nawe ukategeka
acha kupenda kutumia hizo concipirace theory hao wajanja wajanja tu "" wametupiga brain wash ..wewe unaamini maneno ya kutungwa na watu hayo "" jiulize wew tangu upate ufahamu umeshawahi kuongopa Mara ngapi ..mpaka wao washindwe kukuongopeaMkuu, mimi nimenukuu tu na kuona ni hekima kuitumia hiyo nukuu.
Vv
Nimesoma comment yake moja moja na za wanaojibu hoja nimeona hawana hoja za kumshawishi mtu aamini zaidi kukazia "Yupo yupo amini ".hahaaa umekuja !!? umeona wameshamkimbia kianga !?? tatizo watu waliokuja kujibu hoja zake niwepesi mnooo "" hii hoja nibora ungeianzisha kule kwenye jukwaa letu LA watu wenye akili nyingi
nashangaa mtu anauliza maswali ambayo yameshajibiwaAlisema huwezi kudhibitisha kitu ambacho hakipo!!! Yeye amesema Mungu hayupo sasa hapo unataka adhibitishe nini?
Wanasema yupo ndio wadhibitishe uwepo wa huyo Mungu
HAYO NDIO MAJIBU YA KIRANGA
kuna watu wengine wanaelewa tu ila kwakuwa wamejikuta wameshakulia ktika hiyo mifumo basiii tu wanashindwa kujitoa ktika hiyo minyorolo ..."""Nimesoma comment yake moja moja na za wanaojibu hoja nimeona hawana hoja za kumshawishi mtu aamini zaidi kukazia "Yupo yupo amini ".
Hoja za Kiranga ni za msingi na mtu yeyote anayeweza kufikiria akiamua kukaa chini na kuanza kufikiria lazima aje na maswali ya Kiranga.
Mtu pekee aliyewakarisha watu kama Nyani Ngabu kipindi JF ina intellectuals!.. Huyo jamaa ni level zingine!!..Karanga au Kiranga?
Kiranga anasema mtumie hoja sio matusi. Hiyo biblia kiranga haiamini kwahiyo hata kilichoandikwa humo hakuaminiDeadbody, Biblia inasema kuwa "mpumbavu amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu.".
Sasa unataka huyo mtu athibitishiwe vipi kuwa kuna Mungu wakati Biblia inamwita mtu wa namna hiyo kuwa ni mpumbavu? Unathubutu vipi kubishana na 'mpumbavu '?
Vv
Inawezekana wewe ndio umeshindwa kulielewa swali kwa utashi japo swali lineulizwa kiufasahaHujaweza kuielezea vizuri hiyo nguvu.
Unaposema nguvu kubwa zaidi ya uwezo wa binadamu, unamaanisha nini?
Nimekuuliza nguvu kama ya jua umekataa.
Bado hata unachouliza wewe mwenyewe hujaweza kukielezea, ila unanilazimisha tu kwamba unajua nimeelewa.
Nimeelewa vipi swali ambalo hata wewe unayeuliza umeshindwa kuliuliza kwa ufasaha?
Yeye mwenyewe pia ameshindwa kuthibitisha kama aidha yupo au hayupo!
Mtu pekee aliyewakarisha watu kama Nyani Ngabu kipindi JF ina intellectuals!.. Huyo jamaa ni level zingine!!..
Inawezekana wewe ndio umeshindwa kulielewa swali kwa utashi japo swali lineulizwa kiufasaha
Nimekwambia nguvu zaidi ya hilo jua, sijui hujaelewa nini
Halafu mtu kushindwa kuthibitisha jambo flani lipo haimaanishi halipo. Mfano miaka ya nyuma, kabla ya kuthibitisha, hakuna aliyethibitisha kwamba kuna sayari nyingine zinazolizunguka jua tofauti na dunia.
Jambo lingine, huwezi kuthibitisha uwepo wa roho kwa kutumia mbinu za kimwili (ambazo wewe ndio unaziamini kama mbinu pekee za kuthibitisha jambo). Mshana alitangulia kusema hapo awali.
Kuna mwanafaksafa anajulikana kama "God's Philosipher". Anaitwa Alvin Plantinga.daaaahh nasikitika kuona hoja zako nzito kama hzi huwa zinajibiwa na watu wenye hoja nyepesi mnooo ""
Nguvu zaidi ya hilo jua ndiyo ipi?Inawezekana wewe ndio umeshindwa kulielewa swali kwa utashi japo swali lineulizwa kiufasaha
Nimekwambia nguvu zaidi ya hilo jua, sijui hujaelewa nini
Halafu mtu kushindwa kuthibitisha jambo flani lipo haimaanishi halipo. Mfano miaka ya nyuma, kabla ya kuthibitisha, hakuna aliyethibitisha kwamba kuna sayari nyingine zinazolizunguka jua.
Jambo lingine, huwezi kuthibitisha uwepo wa roho kwa kutumia mbinu za kimwili (ambazo wewe ndio unaziamini kama mbinu pekee za kuthibitisha jambo). Mshana alitangulia kusema hapo awali.
Nilijiunga na JF mwezi January mwaka 2014... ni hoja za kiranga ndizo zilizonifanya nijiunge humu. Waliojiunga 2017 hawatuelewi kabisa tunaposema Kiranga ni noma. Sasa kiranga akiamua kuandika kiingereza na usitoke hata na neno moja ndio utamkubali... nakumbuka walifanyaga debate ya kiingereza ilikuwa ni mtafutano humu.nashangaa mtu anauliza maswali ambayo yameshajibiwa
haaahhaa kweli waliojiunga miaka ya hivi sasa hawawezi kuelewa ..kiranga ni hatari mnooNilijiunga na JF mwezi January mwaka 2014... ni hoja za kiranga ndizo zilizonifanya nijiunge humu. Waliojiunga 2017 hawatuelewi kabisa tunaposema Kiranga ni noma. Sasa kiranga akiamua kuandika kiingereza na usitoke hata na neno moja ndio utamkubali... nakumbuka walifanyaga debate ya kiingereza ilikuwa ni mtafutano humu.
naaam nikweli kabisaaa lazima majibizano yawe magumu !!?Kuna mwanafaksafa anajulikana kama "God's Philosipher". Anaitwa Alvin Plantinga.
Katika dunia ya falsafa ya magharibi/ Ukristo, huyu ndiye mwamba katika kupangua hoja za wapinga kuwepo Mungu.
Na huyu mwamba kashindwa kujibu hili swali.
Papa wa Wakatoliki aliulizwa na kisichana huko Ufilipino, kwa nini Mungu kaachia ulimwengu wenye maovu kiasi kuna visichana vidogo vingi vinaishi kwa kujiuza miili yao? Mungu kashindwa kuzuia haya?
Papa akajiumauma tu, alishindwa kujibu swali.
Sasa hapa watu wengi ninaojibizana nao sio tu hawajamsoma Alvin Plantinga, hawajawahi hata kumsikia.
Sasa hapo majibizano lazima yawe magumu.