capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,363
- 121,260
Skia bro umetoa contradictions zako, nmejibu moja wapo kama mfano tu na umeridhika. Madai yalobaki ni ushupavu binafsi. Unasema logics, nmekuuliza unaujua upepo? hujataka kujibu straight sasa nikusaidieje? Huna logic, huna points. Achana na sources za ku-google zitakupoteza. Ukitaka kumjua Mungu soma vitabu vitakatifu. Sina muda wa kutosha kujadili haya, wapo wanasayansi wakubwa dunia wamekiri uwepo wa Mungu, wew ni nan?You are running away, you are not done.
You have not answered my questions.
Unaelewa kwamba hujajibu swali nililouliza na kama umejibu umejibu swali ambalo sijauliza?Kuruhusu maovu yaendelee sio kushindwa kuyafutilia mbali. Kama umewahi kusikia kuhusu pambano alilonalo sasa hivi na mkuu wa ulimwengu huu(pole kwa hii contradiction ) linalotazamwa na viumbe tusiowaona ( hili ni kwa imani) Mungu anaendelea kuthibitisha kwa wanadamu na viumbe wengine ambao hawajaasi haki ya hukumu zake. Accusation ya shetani ni kama yako kuwa Mungu ni tyrant na wanaomfuata ni automatons au wanamwogopa. Mungu anataka kuthibitisha kuwa anaweza kuwapa viumbe wanaochagua kumwamini na kumsikiliza uwezo wa kuishi vile inavyowafaa na kupata gift ya kuishi bila kufa pale wakati utakapotimia wakati huyo ibilisi atakapofutiliwa mbali milele na kurhibitisha uwezo wa Mungu in all fronts. So just because God has not yet shown unbelievers uwezo wake wote it doesnβt mean He does not have the power to do what He wants. The Bible has these insights only when read objectively and not when read by its critics.
Hujaondoa contradiction ya Mungu wako wa "pembe tatu yenye pembe sita".Skia bro umetoa contradictions zako, nmejibu moja wapo kama mfano tu na umeridhika. Madai yalobaki ni ushupavu binafsi. Unasema logics, nmekuuliza unaujua upepo? hujataka kujibu straight sasa nikusaidieje? Huna logic, huna points. Achana na sources za ku-google zitakupoteza. Ukitaka kumjua Mungu soma vitabu vitakatifu.
Hii umesoma wapi?Hujaondoa contradiction ya Mungu wako wa "pembe tatu yenye pembe sita".
Jaribu tu kuelewa kuwa hizo unazoita contradictions ni kwa kuwa knowledge uliyonayo iko limited na logics ulizosoma hii miaka 20 au 30. Panua akili kidogo and imagine kuna knowledge ambayo hujaipata tu (which is a big possibility considering educational advancement now compared to those medieval ages) ambayo mwanadamu hajfunuliwa kuja kukufundisha. Huwezi kujenga logic hapo. Kwako itakuwa contradictions tu. Ungekuwa salama kama ungechukua position explanation ya kilichoko kwa Bible sijaielewa, not because thereβs contradictions but because the true meaning has not been revealed to me.Kitabu kinami contradictions kibao, left right and center. Halafu mtu anakwambia hiki kitabu cha Mungu mjuziwa yote,mwenye uwezo wote na upendo wote.
Mungu huyo angekuwepo asingehitaji hata kitabu kumuelezea.
Ukweli kwamba kuna kitabu hicho unaonesha Mungu huyo katungwa na watu tu.
Unapoandika "hii" una maana gani? Umeelewa hata nilichoandika?Hii umesoma wapi?
Kitabu kinami contradictions kibao, left right and center. Halafu mtu anakwambia hiki kitabu cha Mungu mjuziwa yote,mwenye uwezo wote na upendo wote.
Mungu huyo angekuwepo asingehitaji hata kitabu kumuelezea.
Ukweli kwamba kuna kitabu hicho unaonesha Mungu huyo katungwa na watu tu.
Talking abt trinity sio?Unapoandika "hii" una maana gani? Umeelewa hata nilichoandika?
Your God,is, by definition, a contradiction, just like "pembetatu yenye pembe sita".
Kamavile "pembe tatu yenye pembe sita" ambavyo haiwezi kuwepo, Mungu wako naye hivyo hivyo hawezi kuwepo.
Kwa sababu, katika dhana ya kuwepo Mungu wako,kuna vitu vinajipinga kama inavyojipinga dhana ya "pembe tatu yenye pembe sita"
Ukikubali logic, Mungu wako hayupo kwa sababu hana logic.Jaribu tu kuelewa kuwa hizo unazoita contradictions ni kwa kuwa knowledge uliyonayo iko limited na logics ulizosoma hii miaka 20 au 30. Panua akili kidogo and imagine kuna knowledge ambayo hujaipata tu (which is a big possibility considering educational advancement now compared to those medieval ages) ambayo mwanadamu hajfunuliwa kuja kukufundisha. Huwezi kujenga logic hapo. Kwako itakuwa contradictions tu. Ungekuwa salama kama ungechukua position explanation ya kilichoko kwa Bible sijaielewa, not because thereβs contradictions but because the true meaning has not been revealed to me.
Trinity umeipata wapi?Mimi naongea Euclidean geometry, tena nimeitaja mara kibao, wewe unaona trinity.Talking abt trinity sio?
Unaita kitu ambacho hujaweza kukijibu ujinga.hiyo ni hekima yako, ambayo kwangu mim naweza sema ni ujinga pia. Nasema ujinga sababu unaongea jambo usilolijua
Unaita kitu ambacho hujaweza kukijibu ujinga.
Hapo nani mjinga?[/QUOTE
Naona una fail sasa. Geometric na uwepo wa Mungu kuna uhusiano wowote au unatafuta kichaka? Jambo usilojua ni kwamba sipo hapa ili mtu ajue kua nipo hapa, nipo hapa tusaidiane. Me naamin we huamin uwepo wa Mungu nan ana advantage? So farr zipo faida nyingi za kuamin uwepo wa Mungu na hakuna hasara. Unahis kuna faida yoyote napata kulumbana na wew? Believ wat u believ its ur choice.Unaita kitu ambacho hujaweza kukijibu ujinga.
Hapo nani mjinga?
Ahaaa now I get you. Kuwa mtu akikubali kuwa limited na logic basi Mungu ni contradiction. As for logic, it is a tiny subject that serves to complete small small matters. But for big things I go for God. Una akili sana wewe kiranga. Sasa kuwa msomi zaidi. STOP BEING LIMITED BY LOGICS. THEY ARE A SMALL TOPIC IN A BIG SUBJECT CALLED REALITY. I rest my case.Ukikubali logic, Mungu wako hayupo kwa sababu hana logic.
Ukikataa logic, huwezi kuthibitisha Mungu wako yupo (unahitaji logic). Arguments zote za kuwepo kwaMungu ambazo zinatumialogic nazo zinavunjika.
Ukikubali logic, ukikataa logic, Mungu wako hayupo.
Ukienda nje ya logic, chochote kinawezekana.Ahaaa now I get you. Kuwa mtu akikubali kuwa limited na logic basi Mungu ni contradiction. As for logic, it is a tiny subject that serves to complete small small matters. But for big things I go for God. Una akili sana wewe kiranga. Sasa kuwa msomi zaidi. STOP BEING LIMITED BY LOGICS. THEY ARE A SMALL TOPIC IN A BIG SUBJECT CALLED REALITY. I rest my case.
πππ alokufundisha hizo tautologies kakuweza kweliUkienda nje ya logic, chochote kinawezekana.
Umekubali Mungu yupo.
Umekubali Mungu hayupo.
Umekubali Mungu yupo na hayupo hapo hapo.
Umekubali Mungu yupo na hayupo, halafu katikati ya kuwepo na kutokuwepo hayupo na yupo.
Umekubali hayupo lakini kama yupo.
Umekubali yupo lakini anaonekana kama hayupo.
Umekubali hujakubali ulichokubali.
Hujakubali kukubali.
Hujui umesimama wapi.
Umeshindwa hata kuninukuu.Naoan
Ukikataa logic, tautology inakuwa sawa na contradiction na chochote kinawezekana.πππ alokufundisha hizo tautologies kakuweza kweli
Toka eeewe pepo wa logic na umwachilie mtu huyu, yeye ni mtoto wa Mungu aliye hai. Huna mamlaka juu yakeUkikataa logic, tautology inakuwa sawa na contradiction na chochote kinawezekana.
Hata pembe tatu yenye pembe sita inawezekana kuwepo.
Na Mungu wenu mwenye contradiction anakuwa a tautological fiat.