Itakuwa ni ajabu pia kung'ang'ania kusema kuwa kitu hakipo lakini huna uhakika kuwa hicho kitu hakipo,maana ungekuwa na uhakika kuwa hicho kitu hakipo basi ungeyaeleza yale yenye kukufanya hadi ukawa na uhakika kuwa hicho kitu hakipo. Ukiona mtu anasema kitu hakipo halafu hawezi kuthibitisha kutokuwepo kwa hicho kitu basi ujue huyo mtu hicho kitu hakijui na ndiyo maana ana kosa sababu za kuthibitisha kuwa hicho kitu hakipo kwa sababu hata hakijui.Sasa si tutakuwa vichaa kuamini kitu ambacho hakipo?
Sasa kama kweli hicho kitu kipo kwanini ushindwe kukithibitisha? Unashindwa kwasababu hakipo
Katika kutafuta majibu, kuna njia nyingi.sasa sisi ni kina nani na ilikuwaje tukawepo hapa duniani
Haujajibu swali lake kwa jinsi aelewavyo wala haujaweza kuonesha hivyo anavyofikiri si sahihi.Kwa nini unafikiri kuna kitu kama "mwanadamu wa kwanza" in the first place?
Kipimo chako cha kusema "huyu ni mwanadamu" ni kipi?
Unaweza kunithibitishia kuwa kuamini kuwa hakuna mungu ni uhuru na si utumwa?Ni utumwa mbaya sana kuamini kuna mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo, aliyeko kila mahali, nk. Huo ni upunguani na ni upumbavu kukubali hayo.
Tujikomboe na huu utumwa [emoji16]
Unajuaje kwamba sijaweza kuonyesha afikiriavyo si sahihi?Haujajibu swali lake kwa jinsi aelewavyo wala haujaweza kuonesha hivyo anavyofikiri si sahihi.
Mueleze sasa kipi ni sahihi kama unaona hivyo anavyofikiri pengine si sahihi.
Utakuwaje mtumwa wa kitu ambacho hakipo?Unaweza kunithibitishia kuwa kuamini kuwa hakuna mungu ni uhuru na si utumwa?
Wakuthibitisha ni wewe unaesema yupo.Je,wewe unaweza kutuhakikishia usemacho kuwa mungu hayupo ni kweli hayupo?
Kwanza umeelewa nilichoandika hapo au ndio umekurupuka?Unaweza kunithibitishia kuwa kuamini kuwa hakuna mungu ni uhuru na si utumwa?
Mungu wao angekuwapo, kusingekuwa na mabaya.Wakuthibitisha ni wewe unaesema yupo.
Sijaona maana ya swali lako pengine labda ungeliweka vizuri.Unajuaje kwamba sijaweza kuonyesha afikiriavyo si sahihi?
Umeingia kichwani mwake?
Mtu akiuliza kuhusu mwanadamu wa kwanza, ni lazima atupe kipimo cha uanadamu.
Kipimo cha uanadamu ni nini?
Ndiyo nini?Utakuwaje mtumwa wa kitu ambacho hakipo?
To the contrary, unakuwa mtumwa wa kile ambacho kipo.
Nimechoka kurudia maneno mkuu. Hawa watu wana akili lakini wanaziweka pembeni kwenye maswala yanayomhusu huyu mungu wao.Mungu wao angekuwapo, kusingekuwa na mabaya.
Kuwepo kwa mabaya ni ushahidi kwamba mungu Huyo hayupo.
Ama sivyo, kwa nini mungu mwenye ujuzi wote, upendo wote na uwezo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?
Kwanini nini mie? Ina maana wewe hutaki watu wapate uhakika na usemayo?Wakuthibitisha ni wewe unaesema yupo.
Nini ndiyo nini?Ndiyo nini?
Haiwezekani kuwepo na Mungu mwenye uwezo wote, upendo, muumbaji wa vyote na aliyeko kila mahali huku tushuhudie mapungufu mengi kiasi hiki kwenye ulimwengu huu mnaosema kwamba kauumba yeye.Kwanini nini mie? Ina maana wewe hutaki watu wapate uhakika na usemayo?
Hii mmetoa wapi kama mtu akishindwa kukuthibitishia kitu kwa njia unayoitaka basi hakipo...?!Sasa si tutakuwa vichaa kuamini kitu ambacho hakipo?
Sasa kama kweli hicho kitu kipo kwanini ushindwe kukithibitisha? Unashindwa kwasababu hakipo
Kina nani wamemtunga...?!Unajuaje kwamba mungu yupo na haonekani na si kwamba hayupo katungwa kwenye hadithi kama Willy Gamba tu na waliomtunga wamesema haonekani?
Kama imani haiendani na logic, utajuaje kama unavyoamini ni ukweli au uongo?
After all, process ya kujua kitu ni cha ukweli au uongo ni logical, si ya kuishia kwenye imani tu.
Mpaka hapo bado hujathibitisha kuwa Mungu yupo, naona unatoka nje ya mada tu
Najua kwasababu hayupo na hajawahi kuwepoKwani mada inataka kuthibitisha Mungu yupo...?! Ila wewe unayetaka uthibitisho ndio upo ndani ya mada...?!
Bado sijathibitisha kiaje, nimekwambia kama unataka nikuthibitishie maabara kwa kweli siwezi kuthibitisha kwa njia unayoipenda wewe...
Hebu labda nikuulize wewe ulijuaje kwamba hayupo...?!
Sina sifa ya kukurupuka,nimekuelewa.Kwanza umeelewa nilichoandika hapo au ndio umekurupuka?