sasa sisi ni kina nani na ilikuwaje tukawepo hapa duniani
Katika kutafuta majibu, kuna njia nyingi.
Moja wapo ni "elimination process". Unaelewa theory, unaichambua, unaikubali au kuikataa kutokana na merits au demerits same.
Mimi siwezi kujifanya unajua sisi ni nani na tumetokeaje.Point ya kuntenganisha Homo Sapien Sapien tu na wengine si rahisi hata kwa watu waliosomea hili maisha yao yote.
Ila ninachosema kutuambia kwa uhakika ni kwamba hatujaumbwa na Huyo mungu wa vitabuni. Kwa sababu anafeli basic and simple checks.
Checks kama logical consistency. Which is a very elementary test.
Ni kama umuulize mtu square root ya 2 ni nini, halafu mtu akakwambia siijui, lakini unajua hawezi kuwa 10. Kwa sababu 10 ni kubwa kuliko 2 na square root ya 2 ni ndogo kuliko 2.
Hapo kuna a logical consistency test ndogo tu inayokuonyesha kwamba, hata kama hujui square root ya 2 ni ipi (an irrational number by the way), haiwezi kuwa 10.
Sasa hawa wanaotuambia kuna mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu unaowezekana kuwa na mabaya kama huu ni kama mtu anayekuambia square root ya 2 ni 10.
Haiwezekani, hatabila ya kujua tulipotokea ni wapi, kwa sababu jibu la 10/mungu huyu halina logical consistency.