Je! Mungu ni yule yule?

Je! Mungu ni yule yule?

Hujawahi kuona mtu anakwambia unaweza ukawa sawa kwa namna moja, na usiwe sawa kwa namna nyingine...?!

lakini huyo mtu kuwa sawa au asiwe sawa bado yupo...
Unajuaje kwamba hiyo si inarticulate observation tu?

Hope mfano wa kitu ambacho ni possible na impossible at the same time, kitu kinachojipinga existence kama huyu mungu.

Kama contradiction unaowezekana, then mungu wako yupo na hayupo at the same time.

Which is absurd and makes any discussion about anything pointless, because contradiction is possible, utasemaje nimechelewa kuna akazini wakati anaweza kuwa nonetheless halafu sijachelewa?

Utajuaje bajeti kubwa zaidi wakati unaposema ndogo inaweza kuwa kubwa?

Utasemaje mungu yupo wakati yupo inaweza kumaanisha hayupo?
 
Kudos!
Maswali ya msingi sana haya kwa hoja yake dhaifu..
Ukute huyu jamaa ni mchungaji na ana ufuasi mkubwa nyuma yake..
Ngoja aje kuleta siasa za dini badala ya majibu. Utachoka!

Afadhali ungebishana na waislamu kuliko hawa wazee wa kubadili maandiko kuridhisha nafsi zao..
Wanamfanya Mungu wao aonekane kigeugeu!
Unapinga mwanzako hajaja na hoja halafu wewe unasema afadhali angebishana na waislamu ?? Hao waislamu hawaamini kama Mungu yupo ?Ndio hoja uliyoitoa ?? Tulia tu kama mimi ufuatilie tu vinginevyo unajiabisha ,
 
Ni kweli Freemason wapo karibu na tunaoamini Mungu...

Ambao hawaamini Mungu hawana nafasi ya kuingia Freemason, sasa unataka nibishe tu hata ukweli...?!

Si ndio washirika wenu? Sishangai.. Hapa unazuga tu..
Wanachoamini Freemasons ni Mungu yupi? Maana hoja si Mungu tu, kuna wengine kwao Jiwe ni Mungu..
 
Unapinga mwanzako hajaja na hoja halafu wewe unasema afadhali angebishana na waislamu ?? Hao waislamu hawaamini kama Mungu yupo ?Ndio hoja uliyoitoa ?? Tulia tu kama mimi ufuatilie tu vinginevyo unajiabisha ,

Naona mzee umeshindwa kuvumilia.. Nimesema kama wanabishana bora angebishana na waislam angalau wangevutana kwa hoja. Sasa ulitaka abishane na asiyeamini uwepo wa Mungu kama yeye, watabishiana nini?
Au kwa kuwa we ni mkristo imekuchoma?
Kaa kimya mchumba!
 
Dah, mchumba wacha uongo basi..
Hebu thibitisha hiyo Quran ni sura gani imeandika hayo. Kisha nifafanulie hiyo ya bluu hapo sijakuelewa freshi..

Wait, unasema Mungu kazuia watu wasimjue halafu wote atawaunguza? Sasa uwepo wa Quran na mafundisho ya manabii ni ya kazi gani kama Mungu kazuia watu wasimjue?

Unataja taja neno Logic halafu kumbe nawe si mtumiaji mzuri wa hiyo Logic yenyewe..
Unaonekana hujaisoma Quran, hata kidogo tu.

Ina maana hujui kwamba Quran imeandika kwamba mungu kaifanya mioyo ya watu wengine migumu wasimjue, na hawa hata wakijitahidi vipi hawataweza kumjua?
 
Si ndio washirika wenu? Sishangai.. Hapa unazuga tu..
Wanachoamini Freemasons ni Mungu yupi? Maana hoja si Mungu tu, kuna wengine kwao Jiwe ni Mungu..
Unaijua katiba ya Freemasonly

Albert pike mwenyewe,alishawahi kusema kuwa,

Hakuna atheist anayeruhusiwa kuwa freemason

Hio ndio katiba yao
 
Unapinga mwanzako hajaja na hoja halafu wewe unasema afadhali angebishana na waislamu ?? Hao waislamu hawaamini kama Mungu yupo ?Ndio hoja uliyoitoa ?? Tulia tu kama mimi ufuatilie tu vinginevyo unajiabisha ,
Huyo hajaelewa kwamba hoja yangu imejumuisha kupinga mungu wa Waislamu na Wakristo.

Hajaweza kusoma na kuelewa hilo.
 
Si ndio washirika wenu? Sishangai.. Hapa unazuga tu..
Wanachoamini Freemasons ni Mungu yupi? Maana hoja si Mungu tu, kuna wengine kwao Jiwe ni Mungu..
Issue ni kwamba ni nani anaweza akaingia Freemason, Muislamu mkristo wote wanaweza wakaingia huko lakini sio mtu ambaye anaamini hakuna Mungu, na kwa kuongezea na wanawake hawaruhusiwi kujiunga na Freemason...

Sasa unataka niwe nabisha na fact... issue sio kuonyeshana ni nani bingwa wa kubisha...
 
Sasa mzee mbona una porojo nyingi, si unatumia intaneti? Lete hilo andiko tulione..
Hao 'waliowekewa mioyo migumu' ni wakina nani na kwanini?

Unaonekana hujaisoma Quran, hata kidogo tu.
Ina maana hujui kwamba Quran imeandika kwamba mungu kaifanya mioyo ya watu wengine migumu usimjue, na hawa hata wakijitahidi vipi hawataweza kumjua?
 
Naona mzee umeshindwa kuvumilia.. Nimesema kama wanabishana bora angebishana na waislam angalau wangevutana kwa hoja. Sasa ulitaka abishane na asiyeamini uwepo wa Mungu kama yeye, watabishiana nini?
Au kwa kuwa we ni mkristo imekuchoma?
Kaa kimya mchumba!
Uzuri mmoja wala sihitaji uislamu au ukristo kujua Mungu yupo ,abishane na waislamu kwa sababu ipi ? Mtu amesha sema hana imani kama Mungu yupo kwa hiyo akibishana na waislamu maana yake nini ?? Kwa imani ya dini zote Mungu yupo juu ya vyote ,wala hukutakiwa kuleta uislamu ,kwani kinacho jadalilwa hapa sio ukiristo wala uislamu

Mchumba tena ? Nashukuru sikujua nina kimada jamii forum
 
Huyo hajaelewa kwamba hoja yangu imejumuisha kupinga mungu wa Waislamu na Wakristo.

Hajaweza kusoma na kuelewa hilo.
Hapa yeye anaongelea uislamu na ukiristo wakati nyinyi hamwamini Mungu yupo ,hao wakiristo na waislamu wanaabudu nini kama sio Mungu ??
 
Issue ni kwamba ni nani anaweza akaingia Freemason, Muislamu mkristo wote wanaweza wakaingia huko lakini sio mtu ambaye anaamini hakuna Mungu, na kwa kuongezea na wanawake hawaruhusiwi kujiunga na Freemason...

Sasa unataka niwe nabisha na fact... issue sio kuonyeshana ni nani bingwa wa kubisha...

Kusema tu wanaweza kuingia huko inaonyesha tu ni kujitoa kwa kuwa kwenye Uislamu (naamini ukristo pia) hakuruhusiwa ushirika kwenye suala la kiimani..

Halafu nimekumbuka, hivi we mzee uongo huwa unakusaidia nini? Kumbuka hii ni JF na sio Kigango cha kuooteza sadaka..
Ukiwa mwongo, hufai kujadiliana..

image004.jpg

home-slider-royalalberthall-3.jpg
 
Sasa mzee mbona una porojo nyingi, si unatumia intaneti? Lete hilo andiko tulione..
Hao 'waliowekewa mioyo migumu' ni wakina nani na kwanini?
Tulia basi, mbona unahamanika.

Kwanza download Quran in PDF format kutoka hapa http://www.qurandownload.com/english-quran(yusuf-ali)-wb.pdf

Soma

SURA 2. Baqara, or the Heifer


6. As to those who reject Faith, it is the same to them whether thou warn them
or do not warn them; they will not believe.

7. Allah hath set a seal on their hearts and on their hearing, and on their eyes
is a veil; great is the penalty they [incur].

Soma vizuri. Umeelewa ?

Allah kawaziba macho, masikio na mioyo ili wasimjue. Halafu atawapa adhabu kali kwa kutomjua.

Unapouliza ni wakina nani na kwanini, mimi ndiye natakiwa kukuuliza wewe, mimi si muislamu wala siamini kuwapo kwa mungu. Wewe unayetetea kitabu hiki ndiye unatakiwa kutujibu sisi kwa nini mungu aifanye mioyo ya viumbe wake migumu kiasi isiweze kumuelewa, halafu awahukumu kwa kutomuelewa.

Huyu Allah yupo kweli au ni stories tu?
 
Kama kitu na kiishi nawezaje kukuthibitishia wewe...?! Vitu vya hisia nawezaje kukuthibitishia...?!

Kwa mfano nikihisi kitu fulani nawezaje kukuthibitishia huko ulipo madongo kuinama tena kwa kutumia keyboard...?!
Wewe kama huna uthibitisho wa unachokiamini kaa kimya.
Mimi naweza kuhisi homa hapa na nikakuthibitishia hata kwa kuscan matokeo kuwa nimeenda hospital baada ya kuhisi homa na wakanipima vipimo vikaonyesha kuwa nna tatizo flani.

Kama wewe uko mabonde kuinama ni wewe sio wote

Kama unaweza kutumia keyboard kubisha vitu ambavyo huna hata uhakika navyo unashindwaje kutumia keyboard hiyo hiyo kutetea imani yako??
 
Tulia basi, mbona unahamanika.

Kwanza download Quran in PDF format kutoka hapa http://www.qurandownload.com/english-quran(yusuf-ali)-wb.pdf

Soma

SURA 2. Baqara, or the Heifer


6. As to those who reject Faith, it is the same to them whether thou warn them
or do not warn them; they will not believe.

7. Allah hath set a seal on their hearts and on their hearing, and on their eyes
is a veil; great is the penalty they [incur].

Soma vizuri.Umeelewa.

Allah kawaziba macho, masikio na mioyo ili wasimjue. Halafu atawapa adhabu kali kwa kutomjua.

Huyu Allah yupo kweli au ni stories tu?

Ewalaaa! Kumbe una akili timamu, basi tu umeamua kujichetua..!
Hao watu waliosemwa kwenye huo MSTARI wa 7 ndio kama wewe sasa..

Hata wahubiriwe vipi, waonywe vipi, wameamua tu kutokuamini...
Na Mungu ataziba mioyo yao (muhuri)...

Ni kama kusema wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana akili lakini hawatafakari..

Kimsingi hoja ipo kwenye Mstari wa 6 hapo, bahati nzuri umeuleta pia..
6. As to those who reject Faith, it is the same to them whether thou warn them or do not warn them; they will not believe.

Ubarikiwe!
 
Ewalaaa! Kumbe una akili timamu, basi tu umeamua kujichetua..!
Hao watu waliosemwa kwenye huo MSTARI wa 7 ndio kama wewe sasa..

Hata wahubiriwe vipi, waonywe vipi, wameamua tu kutokuamini...
Na Mungu ataziba mioyo yao (muhuri)...

Ni kama kusema wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana akili lakini hawatafakari..

Kimsingi hoja ipo kwenye Mstari wa 6 hapo, bahati nzuri umeuleta pia..
6. As to those who reject Faith, it is the same to them whether thou warn them or do not warn them; they will not believe.

Ubarikiwe!

Sasa kwa nini mungu badala ya kuwaacha waamue wenyewe au kuwasaidia wamjue, anawaziba mioyo, macho na masikio wasimjue kiasi kwamba hata wakijitahidi vipi kumjua hawatamjua?

Wakikosa kumjua kwa sababu mungu kawaziba macho, masikio na mioyo kumjua, mungu atawalaumu na kuwahukumu kwamba hawajamjua wakati yeye mwenyewe ndiye aliyewaziba macho, masikio na mioyo ili wasimjue?
 
Imekuwaje mungu amnyime mtu kumjua yeye mungu wake, halafu amhukumu kwa kutomjua mungu?
Ayubu 22:21 >> Mjue Sana Mungu, Uwe na Amani Ndivyo Mema Yatakavyokujia.

Hilo ni Neno La Mungu Wetu. Sasa Kama mungu wenu Hataki Ninyi Mumjue Basi Ndiye Yule Ambaye wakina Paulo walikuta watu wanamwabudu kule Athene jina lake Anaitwa mungu asiye julikana.(Matendo ya Mitume 17:19-34)

Ndiyo Maana BWANA YESU alisema ili wakujue Mungu wa Kweni na Wapekee na Yesu Uliye Mtuma. (Yoh 17:3)

Kwa Maneno Haya ya Yesu ni Wazi Kwamba wapo miungu ya uongo Ndani ya Yesu Ndiyo Kuna Mungu wa Kweli, nje ya Yesu kuna mungu Asiyejulikana.

Sasa kama Hujampa Yesu Maisha Yako, ujue Jehanamu inakungoja Utachomwa Pamoja na shetani unayemtumikia bila wewe kujijua Mwanangu kiranga.
 
Ayubu 22:21 >> Mjue Sana Mungu, Uwe na Amani Ndivyo Mema Yatakavyokujia.

Hilo ni Neno La Mungu Wetu. Sasa Kama mungu wenu Hataki Ninyi Mumjue Basi Ndiye Yule Ambaye wakina Paulo walikuta watu wanamwabudu kule Athene jina lake Anaitwa mungu asiye julikana.(Matendo ya Mitume 17:19-34)

Ndiyo Maana BWANA YESU alisema ili wakujue Mungu wa Kweni na Wapekee na Yesu Uliye Mtuma. (Yoh 17:3)

Kwa Maneno Haya ya Yesu ni Wazi Kwamba wapo miungu ya uongo Ndani ya Yesu Ndiyo Kuna Mungu wa Kweli, nje ya Yesu kuna mungu Asiyejulikana.

Sasa kama Hujampa Yesu Maisha Yako, ujue Jehanamu inakungoja Utachomwa Pamoja na shetani unayemtumikia bila wewe kujijua Mwanangu kiranga.

Hebu tuondokee hapa na kukariri kwako.
Nyie kazi yote mnayoifanya hapa duniani malipo yenu ni kuimba na kusifu tu huko mbinguni...
Si bora mle bata tu kabisa..
 
Back
Top Bottom