Mungù wa waislamu anaapa kwa vitu kama nyota, bahari, mbingu, milima, n.k. Mungu wa Wakristo anaapa kwa jina lake mwenyewe maana hakuna kitu kikubwa na cha thamani kumzidi. Mungu wa waislam hana huruma, na wafuasi wake wanampigania ikitokea anasemwa vibaya na makafiri hata kufanya mauaji. Mungu wa wakristo anahuruma sana, ukikosea ukatubu anakusamehe ndiyo maana akamtoa mwana wake wa pekee ili afe kwa ukombozi wa mwanadamu. Anasema pia mpende hata yule adui yako. Mungu wa wakristo anapigania watu wake, wala watu wake hawampiganii Mungu wao hata kumwaga damu