Je, Musa hakuandika kitabu cha Mwanzo??

Je, Musa hakuandika kitabu cha Mwanzo??

@blackstarline,naona umenielewa vibaya,lakini elewa kuwa mtu anaposema moses hajawahi kuwepo,dini zote tatu,jew,christian and islam zinaumia,undefinedwewe umechukulia too personal,undefinedna kuhusu swali lako hebu kaulize history inasemaje kwanza
 
Musa aliandika kwa sehemu hivi vitabu vya mwanzo kwenye magome ya miti ngozi za wanyama Kutokana na Mafundisho aliopewa na Mungu hi linajidhiirisha katika kitabu Cha kutoka 3:5-18 na pale anapojitambulisha Bwana Mungu kwamba yeye ni Mungu wa Baba yako Ibrahim Isaka na Yakobo kwaio Musa alifundishwa Na Mungu habari za Hawa baba zake na sababu hadi ilipofikia waisrael wapo pale Misri,kwaio Kwa sehemu kubwa maandiko aliyaandika Musa pamoja na wanafunzi wake anaweza akawa Yoshua na kalebu baada ya Musa kufa ambao pia waliandika katika magome yamiti ,ila baadae inawezekana baada ya miaka mingi kupita waandishi wakaja kuyakusanya na kuyaandika Kama historia,....ukiangalia hata injili sio kwamba ziliandikwa na wanafunzi wenyewe halisi wa Yesu Bali waliwasimulia wanafunzi wao wale wanafunzi ndo wakayaandika ila kwakua masimulizi ni ya wanafunzi wa Yesu wanatajwa Kama injili zao mfano ukisoma injili ya Yohana21:24 inadhiirisha wanafunzi wa yohana ndo waliandika injili hi ila kwa masimulizi ya Mtume Yohana mwenyewe
Hata injili ya marko msimulizi ni mtume Petro alikuwa akimsimulia Mwinjili Marko
 
@blackstarline,naona umenielewa vibaya,lakini elewa kuwa mtu anaposema moses hajawahi kuwepo,dini zote tatu,jew,christian and islam zinaumia,undefinedwewe umechukulia too personal,undefinedna kuhusu swali lako hebu kaulize history inasemaje kwanza
Nimekupata vizuri kabisa, yaani ni kwamba kama Musa hajawahi kuwepo basi pia torati itakuwa na mashaka ambayo asilimia kubwa wakristo ndiyo wanayo ifuata.
Kwahiyo kama ni hivyo basi na ukristo pia haupo wala haujawahi kuwepo!
Je, uislam nao haupo?
History inasema agano la kale inasadikiwa liliandikwa na Musa.
 
@blackstarline,history ipi hiyo inayodai moses kaandika agano la kale?undefinedSijui umeelewa naposema history,undefinedmfano history haijamtaja solomon,abrahamu,moses,yesu,daud,saul,yaani hawa hawapo kwenye mainstream history,kwa maana kuwa wanahistory walikosa supporting evidence ya kuwahi kuwepo kwao ndo maana wanakuwa hawapo katika history,undefinedmfano julius caesar alikuwepo kabla ya jesus na yupo katika history,wakati yesu hayupo,undefinedsasa unaweza kuonyesha history ya moses?
 
@blackstarline,history ipi hiyo inayodai moses kaandika agano la kale?undefinedSijui umeelewa naposema history,undefinedmfano history haijamtaja solomon,abrahamu,moses,yesu,daud,saul,yaani hawa hawapo kwenye mainstream history,kwa maana kuwa wanahistory walikosa supporting evidence ya kuwahi kuwepo kwao ndo maana wanakuwa hawapo katika history,undefinedmfano julius caesar alikuwepo kabla ya jesus na yupo katika history,wakati yesu hayupo,undefinedsasa unaweza kuonyesha history ya moses?
Ila wanahistory walipata supportive evidence kwamba binadamu alitokana na sokwe ?
 
Musa ameishi duniani kabisa Sema ni mmoja ya watu ambao hawakuzikwa Bali walitoweka tu
Wengine ni Babu wa saba duniani hanoki
Na nabii mwingine Eliya
 
Mkuu kuna mkuu hapo kakupa kitabu kinachokugaide namna ya kusoma biblia lakini naona umekipuuza
Hicho kitabu nakifahamu actually kinapinga kuwa Musa aligawanya bahari ya Shamu, kinapinga kuwa Musa alipewa amri 10 za Mungu hivyo hicho kitabu kinaungana na hizi hoja zangu maana kinapinga pia Musa kuandika kitabu cha Mwanzo.

Kuhusu kutafsiri biblia kuna vitabu natumia ambavyo vimeandikwa na wanatheolojia credible labisa ndio huwa vinanisadia kabla cjaweka mada humu....hivyo sijakurupuka nimekisoma kwanza nimejiridhisha ndio nikaja na hii hoja.

20180830_090152_HDR.jpg
20180830_090204.jpg
 
Musa anamjua Mungu kama Magufuli na Makonda wanavyojuana, ndiyo maana hata walikuwa kila mmoja akimshauri mwenzake, Kama Musa alimkumbusha Mungu na akamshauri na Mungu akakubali maneno ya Musa, basi sina shaka yawezekana aliandika katika nafsi kadha wa kadha, naamini aliweza kuandika akiwa siyo yeye kama Musa, pengine kiroho na kimwili, huku akivua u binadamu na kuwa malaika ili tu story ieleweke vizuri, Kwa jinsi alivyo Musa inawezekana kabisa aliandika vyote kwa kushuhudia na kwa kujishuhudia.
 
Musa anamjua Mungu kama Magufuli na Makonda wanavyojuana, ndiyo maana hata walikuwa kila mmoja akimshauri mwenzake, Kama Musa alimkumbusha Mungu na akamshauri na Mungu akakubali maneno ya Musa, basi sina shaka yawezekana aliandika katika nafsi kadha wa kadha, naamini aliweza kuandika akiwa siyo yeye kama Musa, pengine kiroho na kimwili, huku akivua u binadamu na kuwa malaika ili tu story ieleweke vizuri, Kwa jinsi alivyo Musa inawezekana kabisa aliandika vyote kwa kushuhudia na kwa kujishuhudia.
undefinedunakumbuka pale mungu alipomnyatia nyatia moses,akampiga kabali ya shingo,kukuru kakara huku na huku,almanusra moses akate pumzi kama sio mkewe Zilipa kuokoa jahazi,undefinedwakati mwingine habari za musa zinasisimua sana
 
Lakini mkuu neno hili WALA HAJAINUKA limeandikwa baada ya Musa kufa je kama ni Mungu ndio alimuambia aandike ni muda gani ilihali limetamkwa baada ya kifo cha Musa ikimaanisha kulikuwa na mtu wa tatu aliyeripoti hii habari..... Na ndio naibua swali hapo kuwa alikuwa nani?? Na kama alikuwa mtu mwingine je kwanini tuambiwe muandishi wa kitabu cha mwanzo hadi kumb. Ni Musa

Hapo ndio nataka kuelewa mkuu
Kumbuka kwamba Yoshua alimalizia kuandika baadhi ya sura za mwisho kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati. Kwa kua kitabu hicho kwa kiasi kukubwa kiliandikwa na Musa, Yoshua aliamua kuacha kuacha umiliki huo chini ya Musa na hatimae yoshua akaandika kitabu chake kama mwendelezo wa pale Musa alipoachia
 
biblia yako imejaa upuuzi wa kutosha



YEHOVA ARUHUSU WATU KULA WATOTO WAO

Kumbukumbu la Torati 28:53

53 Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa Bwana, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako.



YEHOVA KUWAPAKA MAVI MAKUHANI

Malaki 2:1-3

2 Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema Bwana wa majeshi, basi nitawapelekeeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.

3 Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya vyakula vyenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo



YESU AWAAMBIA WAFUASI WAKE WANUNUE MAPANGA

Luka 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.











YEHOVA HATAKI BINADAMU AJUE MEMA NA MABAYA

Mwanzo 3:22

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!”



YEHOVA AUA HALAIKI NA KUWAACHA BIKRA

HESABU 31:15-17

15 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Je, mmemhifadhi hai kila mwanamke?+ 16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+ 17 Na sasa ueni kila mtoto wa kiume, na kumuua kila mwanamke ambaye amefanya ngono na mtu kwa kulala na mwanamume



YEHOVA ATAKA WATU WATII SERIKALI HATA KAMA HAIKUCHAGULIWA NA WATU

Warumi 13

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.





YEHOVA MUASISI WA MFUMO-DUME

1 timotheo 2:11-12

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya na kwa kujitiisha kikamili.+ 12 Simruhusu mwanamke kufundisha,+ wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume,+ bali kuwa kimya.



YEHOVA,MUASISI WA UTUMWA

Mwanzo 9:25-27

25 Basi akasema:“Alaaniwe Kanaani.

Na awe mtumwa wa hali ya chini kabisa kwa ndugu zake.”26 Naye akasema tena:“Abarikiwe Yehova, Mungu wa Shemu,Kanaani na awe mtumwa wake. 27 Mungu na ampe Yafethi nafasi ya kutosha,Akae katika mahema ya Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake pia.”



PONOGRAFIA NDANI YA BIBLIA

Ezekieli 23:20

Aliwatamani sana wanaume wenye uume kama wa punda na manii kama farasi dume.”













YEHOVA BINGWA WA KUKOMOA NA KUTESA

Kumbukumbu la torati 28:28-35

28 Yehova atakupiga kwa wazimu+ na kupoteza uwezo wa kuona+ na kuchanganyikiwa kwa moyo.+ 29 Nawe kwa kweli utakuwa mtu anayepapasa-papasa katikati ya mchana, kama vile kipofu anavyopapasa-papasa gizani,+ nawe hutafanya njia zako zifanikiwe; nawe utakuwa mtu tu ambaye sikuzote hupunjwa na kunyang’anywa, pasipo mtu wa kukuokoa.+ 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+ 31 Ng’ombe-dume wako atachinjwa hapo mbele ya macho yako—lakini hutakula sehemu yoyote yake. Utanyang’anywa punda wako mbele ya uso wako—lakini hatarudi kwako. Kondoo wako watapewa adui zako—lakini hutakuwa na mwokozi yeyote.+ 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+ 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ 34 Nawe utatiwa wazimu kwa kuona kwa macho yako mambo ambayo utaona.+ 35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako













YEHOVA AHAMASISHA WATU WAPIGANE

Kumbukumbu la torati 25:11

11 “Ikiwa wanaume wawili watapambana pamoja, na mke wa mmoja awe amekuja karibu ili kumkomboa mume wake kutoka mkononi mwa yule anayempiga, naye ameunyoosha mkono wake na kumkamata sehemu zake za siri,+ 12 basi ukate mkono wa mwanamke huyo.



YEHOVA APANDISHA JAZBA,AUA WATOTO 42 PAPO HAPO

2 wafalme 2:23-25

3 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!” 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+ 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.



YEHOVA APITISHA ADHABU YA KIFO KWA MLEVI

Kumbukumbu la torati 21:18-21

“Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+ 19 baba yake na mama yake watamshika na kumtoa nje mpaka kwa wanaume wazee wa jiji lake na kwenye lango la mahali pake,+ 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+ 21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe.



YEHOVA ANYANYAPAA VILEMA,WENYE PUA PANA(KAMA zA WATU WEUSI)

Mambo ya walawi 21:17-23

17 “Sema na Haruni, na kumwambia, ‘Mtu yeyote wa uzao wako katika vizazi vyao vyote ambaye ana kasoro+ asije karibu ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 18 Ikiwa kuna mtu yeyote mwenye kasoro, asikaribie: mtu aliye kipofu au kilema au mwenye pua pana au mwenye kiungo kimoja kilicho kirefu mno,+ 19 au mtu aliyevunjika mguu au aliyevunjika mkono, 20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+ 21 Mtu yeyote wa uzao wa Haruni kuhani ambaye ana kasoro hatakaribia ili kutoa matoleo ya Yehova kwa njia ya moto.+ Kuna kasoro ndani yake. Hatakaribia ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+ 23 Hata hivyo, hatakaribia pazia,+ wala hatakaribia madhabahu,+ kwa sababu kuna kasoro ndani yake;+ naye hatapatia unajisi patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.



YEHOVA AFANYA MAUAJI YA HALAIKI,AUA WATOTO WACHANGA HADI WANYAMA

1 samweli 15:3

3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’



YEHOVA APATA KIU YA DAMU YA BINADAMU

Mwanzo 22:2

Mungu akamwambia, “Mchukue mwanao, Isaka, mwanao wa pekee umpendaye, uende mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuonesha.”



YESU AWATAKA WATUMWA KUTII MABWANA WAKATILI

1 Petro 2:18

18 Ninyi watumwa, watiini mabwana wenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wapole na wema peke yao, bali hata wale walio wakali.

Duuuh noma sana
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kumbuka kwamba Yoshua alimalizia kuandika baadhi ya sura za mwisho kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati. Kwa kua kitabu hicho kwa kiasi kukubwa kiliandikwa na Musa, Yoshua aliamua kuacha kuacha umiliki huo chini ya Musa na hatimae yoshua akaandika kitabu chake kama mwendelezo wa pale Musa alipoachia
Mkuu ningeomba nitofautiane tena na wwe.... Unaposema kuwa musa au joshua waliandika kitabu cha Kumb. Na hizo pentateuch nyingine inaleta maswali mfano kuongelea Mji wa Dani ambao kwa mara ya kwanza umetajwa kwenye kitabu cha waamuzi sasa kivp mwandishi wa mwanzo either joshua au Musa au wanafunzi wake waliweza ongelea mji huo enzi za Lutu ilihali umeanza enzi za kina samson???

Vipi kuhusu wakaanan kukimbilia Gaza je Musa alikuwepo kurekodi hilo?? Wakaldayo pia mpaka joshua anakufa walikuwa bado hawajatokea duniani je aliwezaje kuandika kuhusu kabila ambalo halipo duniani? Pia niliuliza kuhusu issue ya wafalme kwamba mpaka joshua anakufa Israel haikuwahi kuwa na mfalme je kivp Musa au joshua aandike kuwa jambo fulani lilitokea "kipindi israel haikuwa na mfalme" je huoni mwandishi halisi wa mwanzo alikuwepo kipindi ambacho wafalme walikuwepo hivyo hawezi kuwa joshua wala musa

Embu tuwekane sawa mkui
 
Wachambuzi wa biblia wanadhani huenda Joshua-ambaye aliachiwa uongozi na Musa alindika baadhi ya sura za vitabu tunavyoita vya Musa hasa kumbukumbu la torati.
Pia huwa tunaamini Daudi aliandika kitabu cha Zaburi lakini kuna baadhi ya sura zinatajwa kabisa mwandishi mwingine aliandika baadhi ya sura
Huo ndio mchango wangu
 
Kabla yote mkuu zitto junior kwema?

Baada ya salam,hivi suala la waandishi wa vitabu vya Biblia ni nani aliyesema nani kaandika nini?

Ni Biblia yenyewe au si Biblia?
Karibu sana mkuu Eiyer ni kitambo kidogo sijakuona jukwaani.....

Kwa ufahamu wangu uandishi wa vitabu vya Biblia umepewa na watu NJE YA BIBLIA ila kwenye biblia kuna vitabu vichache ndio vimeonyesha muandishi wa kitabu husika ni yupi??
 
Nasikia Nebukdenezer nae kaandikamo
Tupe nondo zaidi mkuu.... Maana hivi vitabu vingi vimeandikwa kipindi wayahudi wako uhamishoni so siwezi pinga hoja hii labda utudadavulie zaidi kwa faida ya wanajukwaa wote.
 
Huyu Mungu mwandishi wa vibatu sijui ni wa wapi....mbona hakutoa documentary au Audio CD au Movie?

Hajui ukitoa Fasihi Andishi kuna Fasihi Simulizi,etc?

Hovyo kabisa..
 
Back
Top Bottom