Je, muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo kwa vigezo vipi?

Je, muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo kwa vigezo vipi?

Kiuhalisia hii "Tanganyika" yote iwe ni Zanzibar, kama ilivyokuwa kabla ya wajerumani kuikata na kujigawia hili pande linaloitwa bara.

Hats hins Tanganyika hakuna anayejuwa limetokea wapi, hii yote ilikuwa ni Zenj bar, yaani bara la Zenj.
bibi kizee hata historia huijui kabisa, ni lini bara ilishawahi kuwa zanzibar? ndivyo mnavyodanganyana huko kwenye masebule yenu ehee.
 
Kwani mlipoulazimisha huu muungano uliopo Tanganyika ilikuwa Haina Raisi, Haina bunge ??
Wakati wanaulazimisha mi nilikuwepo? Bila kujali kama walilazimishana au ilikuwaje watajua wenyewe waliokuwepo enzi hizo, Tunachohitaji sisi wa sasa, ni katiba juu ya Muungano ibadilike ili tuwe na Nchi moja chini ya Rais na serikali moja ili kuondoa utegemezi na unyonyaji wa upande mmoja kwa upande mwingine. Au laa kila upande ujitegemee kivyake, pasiwe na kupumzikiana na utegemezi wa kimume na mke. Yaani mume avuje jasho kutafuta mke yeye aegeshe mdomo wake kupokea tu.., no way.., imetosha! Tuwe wamoja au mjitegemee!!
 
Nauombea sana huu muungano wa CCM na Zanzibar uvunjike
Hivi nyie wazanzibari hamjachoka kupelekwa pelekwa na watanganyika

Mama yenu anachoweza ni kuuza tu mali za watanganyika badala ya kuwatafutia uhuru kamili.
 
ni mwaka gani bara walishawahi kuwa zanzibar? toka lini wabara tukawa wala urojo.
Soma kijana.

1720076603338.png
 
Wakati wanaulazimisha mi nilikuwepo? Bila kujali kama walilazimishana au ilikuwaje watajua wenyewe waliokuwepo enzi hizo, Tunachohitaji sisi wa sasa, ni katiba juu ya Muungano ibadilike ili tuwe na Nchi moja chini ya Rais na serikali moja ili kuondoa utegemezi na unyonyaji wa upande mmoja kwa upande mwingine. Au laa kila upande ujitegemee kivyake, pasiwe na kupumzikiana na utegemezi wa kimume na mke. Yaani mume avuje jasho kutafuta mke yeye aegeshe mdomo wake kupokea tu.., no way.., imetosha! Tuwe wamoja au mjitegemee!!

Kwani lazima uwepo muungano ?? si uvunjike kama ilivyovunjika miungano mengine kila mmoja ajenge nchi yake ??
 
Kwa mfumo huu ni kama Zanzibar in ma-Rais wawili na mabunge mawili; Tanganyika haina Rais wala Bunge, na kiuhalisia haipo.
 
Kwa mfumo huu ni kama Zanzibar in ma-Rais wawili na mabunge mawili; Tanganyika haina Rais wala Bunge, na kiuhalisia haipo.

Tanganyika na Zanzibar hazina mabunge wala Raisi hao waliopo waliwekwa na Marehemu Magufuli

Ni mabunge na maraisi wa Magufuli
 
Kwani lazima uwepo muungano ?? si uvunjike kama ilivyovunjika miungano mengine kila mmoja ajenge nchi yake ??
Sawa, kila mtu ajitegemee kama inashindikana kuwa na nchi moja yenye serikali moja chini ya Rais mmoja
 
Nchi gani iliyovamiwa wakailiwa watu wake kwa maelfu itakubali hivyo?
Sawa, kama itashindikana kuungana na kuwa nchi moja, basi mjitegeemee wenyewe, mfanye kazi sasa na sio kukaa vibarazani kula urojo huku Tanganyika ikivuja jasho kuwalisha.., katiba irekebishwe ili mjilishe wenyewe..!
 
Sawa, kama itashindikana kuungana na kuwa nchi moja, basi mjitegeemee wenyewe, mfanye kazi sasa na sio kukaa vibarazani kula urojo huku Tanganyika ikivuja jasho kuwalisha.., katiba irekebishwe ili mjilishe wenyewe..!
Mbona Tanganyika ndiyo imetumaliza , huyo anayenyonywa ana kitu gani cha kunyonywa? Nchi yote imeoza
 
Back
Top Bottom