GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na huyo mwingine mwenye Boksa za Ilala Mchikichini anaonekana ni Mchumba / Mchovu kabisa.Huyu mwenye kofia ya blue(mfupi mweusi) ni mwanajeshi, hio body language ya kijeda kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo mwingine mwenye Boksa za Ilala Mchikichini anaonekana ni Mchumba / Mchovu kabisa.Huyu mwenye kofia ya blue(mfupi mweusi) ni mwanajeshi, hio body language ya kijeda kabisa.
Max hajakomaa sura hivi,mkuu.Mbona huyu Muuza Madafu kwa mbaali hivi anataka kufanana na JamiiForums Founder Mtani wangu Maxence Melo?
Muangalie vizuri Kakomaa sema Hela zinaficha Ukomavu Tukuka wake.Max hajakomaa sura hivi,mkuu.
Ujinga unaopokelewa vyema sana na Wapumbavu wengi walioko katika hiyo Nchi.Mandonga kashafunikwa kiki imehamia kwa muuza madafu.!! Nchi hii tunapenda kupromoti ujinga.
😂😂😂 Ankol ww umejitoa? Si Nchi yetu woteUjinga unaopokelewa vyema sana na Wapumbavu wengi walioko katika hiyo Nchi.
Huyu kama hakuwa komando kwel basi kajichanganya .Muuza Madafu wa Ikulu, Barnabas Alexander, leo atapanda ulingoni kuzichapa na Fredy Sebastian kwenye hii Dar Boxing Derby. Hii ni exhibition fight lakini mabondia wote ni wapya kwenye ulingo mbali na kuwa wanaonekana wanajua michezo.
View attachment 3029264
Je unadhani Komando Madafu atatoboa?
Hata mimi nasubiri matokeoTupeni matokeo
Nimemn'goa meno mtu jana. Sasa yupo hospitali anatibiwa.Matokeo please.
Nini? Acheni kunifuata fuata nyie.Ebooo
Mi hata wewe nakugonga tu. Jichanganye uone.Huyo aliyepinda ameshapigwa kabla hata ya pambano kuanza
Sifanani na mello mi we popoma. Mi ndio muuza madafu wa Ikulu. Acheni wivu.Mbona huyu Muuza Madafu kwa mbaali hivi anataka kufanana na JamiiForums Founder Mtani wangu Maxence Melo?
Mi hata wewe nakugonga tu dogo.Mbona huyo mpinzani wa madafu kapinda alafu mkono uko softsoft sana.
Sixpacks zA kuungaunga anaweza kupigwa mwanzoni tu kama yule dogo madafu atakuwa siriasi.
Hapana, mi ni muuza madafu wa Ikulu na sio mandonga wa pili.Mara pap Mandonga wa pili
Mjinga mwenyewe dogo. Acha shobo.Mandonga kashafunikwa kiki imehamia kwa muuza madafu.!! Nchi hii tunapenda kupromoti ujinga.