Je, Muuza Madafu wa Ikulu atakuwa na maajabu ulingoni?

Je, Muuza Madafu wa Ikulu atakuwa na maajabu ulingoni?

Duuuh! hakuna liyeangalia ndondi jana?
 
Mbona huyu Muuza Madafu kwa mbaali hivi anataka kufanana na JamiiForums Founder Mtani wangu Maxence Melo?
Maxence Melo hawezi kuwa na mtan kama wewe,
Endapo utajibu kwanini ulifunga uzi baada ya spana za kutoshwa na kutoka mbio unaweza kuwa mtani wake
Tazama hapa chini👇
 

Attachments

  • 152E1191-8CE8-40E0-A1D9-78C6EC7ECD81.jpeg
    152E1191-8CE8-40E0-A1D9-78C6EC7ECD81.jpeg
    176 KB · Views: 3
Na huyo mwingine mwenye Boksa za Ilala Mchikichini anaonekana ni Mchumba / Mchovu kabisa.
hawezi kuwa mchovu kama ulivyo wewe
shuhudia hapa chini👇
 

Attachments

  • F295170F-3FC3-4E5C-81BF-183D9D5112FD.jpeg
    F295170F-3FC3-4E5C-81BF-183D9D5112FD.jpeg
    176 KB · Views: 3
Back
Top Bottom