Je, Muuza Madafu wa Ikulu atakuwa na maajabu ulingoni?

Mandonga kashafunikwa kiki imehamia kwa muuza madafu.!! Nchi hii tunapenda kupromoti ujinga.
 
Huyu kama hakuwa komando kwel basi kajichanganya .
 
Hivi ameshapigana? Mana naangalia Euro navizia pambano lake sijajua kama bado au tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…