Usikute hata wewe hujui matokeao ya fightHapana, mi ni muuza madafu wa Ikulu na sio mandonga wa pili.
Kalye mpaliMjinga mwenyewe dogo. Acha shobo.
Maxence Melo hawezi kuwa na mtan kama wewe,Mbona huyu Muuza Madafu kwa mbaali hivi anataka kufanana na JamiiForums Founder Mtani wangu Maxence Melo?
hawezi kuwa mchovu kama ulivyo weweNa huyo mwingine mwenye Boksa za Ilala Mchikichini anaonekana ni Mchumba / Mchovu kabisa.
Azam wametapeli watu, Muuza madafu hajapigana na hawajatoa ufafanuzi wowote hadi muda huu.Duuuh! hakuna liyeangalia ndondi jana?
Nimepigana dogo, nikamtoa meno yule jamaa.Azam wametapeli watu, Muuza madafu hajapigana na hawajatoa ufafanuzi wowote hadi muda huu.