lucasgidion
Member
- Oct 11, 2015
- 9
- 0
Mwakyembe atapiga kaz bwana mbona mzr tuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile Rasimu ya Warioba(wananchi) haina maslahi kwa CCM. CCM waliitoa roho na kuizika. Kufikiria Mwakyembe atairudisha Rasimu ya Warioba ni sawa na kufikiria kuwa Nyerere anaweza kufufuka aje kujionea Kingunge amehama CCM.Baaada ya uteuzi wa Mwakyembe kuwa waziri wa katiba. Nilijiuliza hivi mwakembe anaweza kurudisha katiba ya wananchi kweli? Hebu tusubiri tuone
Baaada ya uteuzi wa Mwakyembe kuwa waziri wa katiba. Nilijiuliza hivi mwakembe anaweza kurudisha katiba ya wananchi kweli? Hebu tusubiri tuone