Dr.Harrison Mwakyembe amebaki kuwa taswira ya kielelezo kwamba, kama ukiona hauwezi kushindana nao basi tafuta namna ya kushirikiana nao nawe utashibishwa. Sitegemei jipya au muujiza wowote kutoka kwake atatumikia Wizara yake kadili atavyotumwa na aliyempeleka