Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 2
Jasusi,
..now, how about kati yako wewe na Bibi Ntilie? kwasababu to some extent she is agreeing with what Manyerere is saying about Butiama.
Bibi Ntilie,
..asante kwa kutuhabarisha kuhusu mchango wa Joseph Nyerere.
..je, kati ya aliyoyaeleza Manyerere ni yapi ya kweli na yapi ya uongo?
..je, unaweza kutueleza mara ya kwanza kufika Butiama ilikuwa lini? vilevile umetembelea mara ngapi Butiama?
..Jasusi alikuwa huko 2004, na Magabe alikuwa huko in the 90s.
Magabe Kibiti,
..wewe uliona magofu ya kitu gani huko Butiama?
..it is you against Manyerere na Bibi Ntilie.
Fafanua swali lako hapa mzee
Kumbuka mimi niliandika hiki hapa:
Kwamba,
hakukuwa na magofu ya viwanda vya nguo, benki mbili, matrekta na malori yasiyo idadi, nk nk
Unataka niseme magofu yapi tena?