JaffarMohammed
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 762
- 283
Habari zenu wana JF Poleni na Mihangaiko ya Dunia hii.
Okay leo nina swali kuhusu suala la siku ya kufufuliwa wanadamu wote. (Kwa wale wanaoamini kua baada ya kifo kuna siku ambayo tutafufuliwa)
Ningependa kufahamu
Je mwanadamu atafufuliwa akiwa na umri Gani?
kama atafufuliwa na umri aliokufa nao je wale wabibi ambao wamekufa hawaoni, hawana meno, wanajisaidia vitandani vipi watafaidi huko peponi?
Na je mtoto mchanga akifufuliwa hivyo hivyo nae atafaidi vipi ufalme wa mbinguni?
Asanteni.
[/QUOTE
Ukweli ni-HAKUNA ANAEJUA.
Bali utasikia dhana tu .Elimu ya hayo anayo mungu pekee.
Wakati Yesu anafufuka alifufuka roho au alifufuka na mwili wake?I believe I can fly. Ujue waliolala wataamka. Roho imchayo bwana itaokolewa. Si mwili
Kwa hiyo bibi kizee aliechoka kabisa ataingia pepeno hivyo hivyo?Ulivyokufa ndivyo utafufuliwa.ila wapo watakaofufuliwa kwa maumbo tofauti tofauti.ila umri ule ule.
Nimependa ulivyofanya reference ya Kitabu cha Mathayo.Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.
Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.
Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.
Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.
Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Wewe utakuwa mpinga kristo.Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.
Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.
Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.
Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.
Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Kwani nilichosema nimekitunga? si nimetoa kwenye Bible?..........kama ni hivyo basi Bible na yenyewe ni Antichrist.Wewe utakuwa mpinga kristo.
Tafsiri zenu za kishetani ndizo zinapotosha.Kwani nilichosema nimekitunga? si nimetoa kwenye Bible?..........kama ni hivyo basi Bible na yenyewe ni Antichrist.
Zinapotosha nini wakati Bible ndo imeandika hivyo?Tafsiri zenu za kishetani ndizo zinapotosha.
Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.
Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.
Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.
Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.
Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Hahahaha..........aahyi,....swali tata.Ufufuliwe uende wapi?
Do you mean John is alive till today? if yes, where is he?Read the Bible with still mind and clear consciousness, then the spirit will touch your understanding and you will know that John the disciple has never really tested death!