Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

Je Mwanadamu atafufuliwa akiwa na Umri Gani?

Mkuu hizo issue si za kweli ni mistori ya kutunga tu.

Hivi unajua Yesu ali wahidi wale watu walioishi kipindi chake kuwa angerudi kabla wao hawajafa?.......yaani angerudi kabla ya kufa kwa wale waliokuwa wakimsikiliza.

Mat. 16:27-28, Kwa maana mwana wa Adam atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, naye ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake. Nawaambia kweli, baadhi yenu hapa hamtaonja mauti kabla ya kumwona mwana wa Adam akija katika ufalme wake.

Huu utabiri wa Yesu kwenye Mathayo 16:27-28, ulifeli mara baada ya vifo vya waliokuwa wakimsikiliza unless kama kuna watu walioishi nyakati za Yesu ambao watukuwa hai hadi hivi sasa.

Kuna watu walioishi nyakati za Yesu walioamini kuwa angerudi kabla wao hawajafa lakini hadi leo ni miaka 2000 hajarudi.
Ufufuo plus ujio wa pili ni kama hekaya za Abunuasi, endeleeni kusubiri mkiamini atakuja.,.....lakini kaeni mkijua hakuna kitu kama hicho.
Siamini km kuna kufufuka
Yesu aliyezuga kufufuka mwenyewe ni baada ya siku 3 tu yaani hakuoza wala nini

Hawa mazoba ndo wanaamini kila kitu utafikiri hawana ubongo au wana bongo za kuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
John the Baptist and John the beloved/the disciple are two different people, wanasema "better to stay quite and let people doubt whether you are stupid or not than to speak up and remove all the doubts "
My friend you are the one who looks stupid. You could clearly specify which one .
Okay here we go

38e6d21e964ce3c76b7964b4bc0169ed.jpg
 
Siamini km kuna kufufuka
Yesu aliyezuga kufufuka mwenyewe ni baada ya siku 3 tu yaani hakuoza wala nini

Hawa mazoba ndo wanaamini kila kitu utafikiri hawana ubongo au wana bongo za kuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaaa...... Yaani watu ni wa ajabu kweli kweli..... Eti kitu kikisemwa kwenye dini basi ni kweli.
 
Ukisoma ufunuo 20:12 nanukuu.
Nikawaona wafu,wakubwa kwa wadogo,wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;na vitabu vikafunguliwa;na kitabu kingine kikafunguliwa,ambacho ni cha uzima;na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,sawasawa na matendo yao.
 
Ukisoma ufunuo 20:12 nanukuu.
Nikawaona wafu,wakubwa kwa wadogo,wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi;na vitabu vikafunguliwa;na kitabu kingine kikafunguliwa,ambacho ni cha uzima;na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,sawasawa na matendo yao.
Mtoto wa mwezi mmoja atafufuliwa na mwezi huo huo mmoja? Sasa hata kutembea hawezi kila mda kulialia anataka maziwa [emoji3] huko peponi kumbe bado kutakua na mikelele tu
 
Kuna pipo ni bongo lala zinafuatisha tu maandiko bila kushughulisha akili
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa wew upo upande gani
 
View attachment 459123[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahahhahaahhaahha haya maswala bhn ukiyazingatia sana utabaki kuwashangaa kina gwajima wanavyokula pesa kina lwakatale wanavotumbua maisha kina lusekelo kina kakobe af wewe unayekaa unahofu kuhusu siku ya mwisho ambayo ni nadharia utabaki kufa njaa tuu
 
Back
Top Bottom