Je, Mwanamke ana lipi la kumfunza mtoto wa kiume linapokuja suala la urijali?

Je, Mwanamke ana lipi la kumfunza mtoto wa kiume linapokuja suala la urijali?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Malezi ya mtoto wa kiume bila kuwepo kwa father figure (baba yake, baba wa kambo, n.k) yamegubikwa na changamoto nyingi katika hiki kizazi ambacho tunashuhudia inatumika nguvu kubwa mno kuharibu urijali wa mwanaume.

Ili kumlea mtoto wa kiume awe rijali ni lazima kwa kiasi fulani kuwe na mlezi ambae ni rijali tayari, na mwanamke hana urijali huo,

Changamoto ipo hapo tu kulea mtoto wa jinsia tofaut na yako ni kaz maana kuna majukum ya kijinsia mengne utashindwa kumtimizia kutokana na kutokujua ama kwa kujua ila aibu ikakutawala na ukiangalia na lifestyle ya sasa hv ndio kabsaa

Sasa je, Je, Mwanamke ana lipi la kumfunza mtoto wa kiume linapokuja suala la urijali ili kuepukana na kukuza mtoto wa kiume kinyume na inavyotakiwa.

Maoni ya wachangiaji

Swali:

Bill Clinton ,Tupac,Obama wote wamelelewa na mama zao kwa muda mrefu...baba zao walifariki wakiwa wadogo au waliachana na mama zao wakiwa wadogo.

Mwanamke ( single parent) anaweza kulea mtoto wa kiume peke yake na huyo mtoto akawa na mafanikio na mwanaume wa shoka.

Jibu

Mkuu, hao uliowatolea mfano wote walikuwa na Father figures waliowalea katika maisha yao.

Baba yake Mzazi Bill Clinton, William Jefferson Blythe Jr. alifariki dunia miezi mitatu kabla Bill hajazaliwa mwaka 1946. Mwaka 1950, mama yake Bill, Virginia aliolewa na Roger Clinton Sr. na Bill alilelewa na Baba huyu wa kambo, na hata akachukua jina lake la Clinton. Hivyo alikuwa na Father figure katika maisha yake.

Tupac alikuwa na Father figure ambaye ni Baba yake wa kambo Mutulu Shakur.

Barack Obama pia aliwahi kulelewa na Step father wake, Lolo Soetoro. Bila kusahau Babu yake Stanley Dunham alimlea Obama kuanzia Obama alipokuwa na miaka 10.

Simaanishi kwamba Single Mothers hawawezi kulea na kukuza watoto wa Kiume, ila Mwanaume kushiriki katika makuzi ya mtoto wa kiume ni muhimu mno kwa maoni yangu.

Single parents wengi (sio single mother wala single father) huwa tunajisahau kwenye malezi(hasa tunapokuwa na watoto wa jinsia tofauti na zetu) tunajikuta tunalea watoto kama mashoga(mashost) au washikaji zetu kitu ambacho sio sawa na kinasababisha mtoto kutokujua roles zao za kijinsia.

Panapotokea mtoto kulelewa na mzazi moja, ni vyema wa kiume alelewe na baba, na wa kike alelewe na mama yake.

Binafsi naweza kulea mtoto wa kiume peke yangu maana mimi ni mwanaume tayari, akilegea legea namwambia hio acha.

Ila mtoto wa kike anaweza kuanza za kuoga mara 1 tu mimi nikaona ni kawaida kabisa kumbe ni vema aoge mara 2 kwa siku.
 
Last edited:
Sioni msingi wa hoja yako labda unataka kuwananga wadada/single maza, katika malezi ya mtoto sio wazazi pekee kuna taasisi zingine ie familia(ukoo) -wajomba,Babu etc, Dini na jamii kwa ujumla na pia tuniulize je akiwa baba pekee atashindwa kumlea binti yake? Hizo tabia unazosema sio lazima zitokene na wazazi zingine watoto wanaweza kupata sehemu nyingine ie shule, madrasa/Sunday school etc
 
Bill Clinton ,Tupac,Obama wote wamelelewa na mama zao kwa muda mrefu...baba zao walifariki wakiwa wadogo au waliachana na mama zao wakiwa wadogo.

Mwanamke ( single parent) anaweza kulea mtoto wa kiume peke yake na huyo mtoto akawa na mafanikio na mwanaume wa shoka.

Kitu cha muhimu ajitambue na aweze kutofautisha malezi ya mvulana na msichana.Na Hilo Ni Jambo rahisi kwa sababu kuna miongozo (Mila na utamaduni wa Kitanzania)ya kulea mtoto wa kike na wa kiume.
 
Sioni msingi wa hoja yako labda unataka kuwananga wadada/single maza, katika malezi ya mtoto sio wazazi pekee kuna taasisi zingine ie familia(ukoo) -wajomba,Babu etc, Dini na jamii kwa ujumla na pia tuniulize je akiwa baba pekee atashindwa kumlea binti yake? Hizo tabia unazosema sio lazima zitokene na wazazi zingine watoto wanaweza kupata sehemu nyingine ie shule, madrasa/Sunday school etc
Ulichosema ni kwel kabsaa lakin umrsahau kuwa msingi unaanza kwenye familia. Kama mzazi(single father/mother) atashindwa kujenga msingi mzuri(kujitambua yeye ni nani, kujua majukumu ya yake ya kijinsia, kuja nafasi yake katika jamiikulingana na jinsia yake, nk) kwa watoto/mtoto jua anarahisisha mazingira ya mtoto wake kuharibika atakapo nje ya imaya yake
 
Ni zaidi ya changamoto kiukweli
Single parents wengi (sio single mother wala single father) huwa tunajisahau kwenye malezi(hasa tunapokuwa na watoto wa jinsia tofauti na zetu) tunajikuta tunalea watoto kama mashoga(mashost) au washikaji zetu kitu ambacho sio sawa na kinasababisha mtoto kutokujua roles zao za kijinsia.
 
Bill Clinton ,Tupac,Obama wote wamelelewa na mama zao kwa muda mrefu...baba zao walifariki wakiwa wadogo au waliachana na mama zao wakiwa wadogo.

Mwanamke ( single parent) anaweza kulea mtoto wa kiume peke yake na huyo mtoto akawa na mafanikio na mwanaume wa shoka.

Kitu cha muhimu ajitambue na aweze kutofautisha malezi ya mvulana na msichana.Na Hilo Ni Jambo rahisi kwa sababu kuna miongozo (Mila na utamaduni wa Kitanzania)ya kulea mtoto wa kike na wa kiume.
Mkuu hivyo ni vizazi vya zamani, so kama sasa utandawazi umekuwa mkubwa sana zamani hata tv tu wenye nazo walikuwa wanahesabika hapa nchini, kwa siku hizi smartphones zimerundikana na hapa ndipo utandawazi unamtafuna mtu mzima mzima na malezi yanaweza kuchochea
 
Single parents wengi (sio single mother wala single father) huwa tunajisahau kwenye malezi(hasa tunapokuwa na watoto wa jinsia tofauti na zetu) tunajikuta tunalea watoto kama mashoga(mashost) au washikaji zetu kitu ambacho sio sawa na kinasababisha mtoto kutokujua roles zao za kijinsia.
Panapotokea mtoto kulelewa na mzazi moja, ni vyema wa kiume alelewe na baba, na wa kike alelewe na mama yake.

Binafsi naweza kulea mtoto wa kiume peke yangu maana mimi ni mwanaume tayari, akilegea legea namwambia hio acha.

Ila mtoto wa kike anaweza kuanza za kuoga mara 1 tu mimi nikaona ni kawaida kabisa kumbe ni vema aoge mara 2 kwa siku.
 
Bill Clinton ,Tupac,Obama wote wamelelewa na mama zao kwa muda mrefu...baba zao walifariki wakiwa wadogo au waliachana na mama zao wakiwa wadogo...
Mkuu, hao uliowatolea mfano wote walikuwa na Father figures waliowalea katika maisha yao.

Baba yake Mzazi Bill Clinton, William Jefferson Blythe Jr. alifariki dunia miezi mitatu kabla Bill hajazaliwa mwaka 1946. Mwaka 1950, mama yake Bill, Virginia aliolewa na Roger Clinton Sr. na Bill alilelewa na Baba huyu wa kambo, na hata akachukua jina lake la Clinton. Hivyo alikuwa na Father figure katika maisha yake.

Tupac alikuwa na Father figure ambaye ni Baba yake wa kambo Mutulu Shakur.

Barack Obama pia aliwahi kulelewa na Step father wake, Lolo Soetoro. Bila kusahau Babu yake Stanley Dunham alimlea Obama kuanzia Obama alipokuwa na miaka 10.

Simaanishi kwamba Single Mothers hawawezi kulea na kukuza watoto wa Kiume, ila Mwanaume kuwepo katika makuzi ya mtoto wa kiume ni muhimu mno kwa maoni yangu.
 
Hii inawahusu sana mabinti ambao wapo mijini kulikoshamiri utandawazi na wanalea watoto wenyewe bila kuwepo mwanaume katika malezi ya mtoto wa kiume...
Hii maada pana sanaaaaa na ya muhimu sana kujadiliwa sababu lifestyle inatupelekae huko.

Ngoja nifunge siku nije nichangie japo kidogo tuu kwa uelewa wangu
 
Hii maada pana sanaaaaa na ya muhimu sana kujadiliwa sababu lifestyle inatupelekae huko.

Ngoja nifunge siku nije nichangie japo kidogo tuu kwa uelewa wangu
Itapendeza kwakweli
 
Panapotokea mtoto kulelewa na mzazi moja, ni vyema wa kiume alelewe na baba, na wa kike alelewe na mama yake...
Changamoto ipo hapo tu kulea mtoto wa jinsia tofaut na yako ni kaz maana kuna majukum ya kijinsia mengne utashindwa kumtimizia kutokana na kutokujua ama kwa kujua ila aibu ikakutawala na ukiangalia na lifestyle ya sasa hv ndio kabsaa
 
Changamoto ipo hapo tu kulea mtoto wa jinsia tofaut na yako ni kaz maana kuna majukum ya kijinsia mengne utashindwa kumtimizia kutokana na kutokujua ama kwa kujua ila aibu ikakutawala na ukiangalia na lifestyle ya sasa hv ndio kabsaa
Kuna mama alileta maada humu kwamba anamuogesha mtoto wake wa kiume ana miaka 11 ili awe anamkagua marinda, kiukweli nilishanga sana, yani anasubiri tatizo litokee ndio agundue, achilia mbali mtoto wa kiume akifikia miaka 6 inabidi aanze kujiogesha
 
Kuna mama alileta maada humu kwamba anamuogesha mtoto wake wa kiume ana miaka 11 ili awe anamkagua marinda, kiukweli nilishanga sana, yani anasubiri tatizo litokee ndio agundue, achilia mbali mtoto wa kiume akifikia miaka 6 inabidi aanze kujiogesha
Hayo ndio malezi mabovu na wengi tunajisifu kuwa ni upendo kumbe ni kuharibu.
 
Ulichosema ni kwel kabsaa lakin umrsahau kuwa msingi unaanza kwenye familia. Kama mzazi(single father/mother) atashindwa kujenga msingi mzuri(kujitambua yeye ni nani, kujua majukumu ya yake ya kijinsia, kuja nafasi yake katika jamiikulingana na jinsia yake, nk) kwa watoto/mtoto jua anarahisisha mazingira ya mtoto wake kuharibika atakapo nje ya imaya yake
Kwaiyo tatizo sio mtoto kupata malezi ya single parent kwamba issue ni namna unavyotengeneza msingi ya malezi kwa mtoto
 
Back
Top Bottom