Je mwanamke uko tayari?

Je mwanamke uko tayari?

we wamoto kerege bado aujampata BHOKE??
njoo bas uku nikukonyeze wakat unamsubiria NYAMBURA WAKO....
 
mi sichagui kakangu ila nisichotaka ni MWANAUME MWENYE MBWEMBWE ,MAJIGAMBO,ANAYEJIBUST ...APANA

napenda mwanaume wa kawaida ..asiye na makuu ,wakawaida tu,anayevaaa simpo siyo manguo ya gharama sana apana ni kawaida tu cz i do believe mwanaume anayevaa masut daily pasipo sababu maalumu,anayevaa machen ,maviatu ya laki 5 namchululia km ana matatizo..napenda usafi na si mambo ya show off...
mwanaume kwangu ninamthamin kwa up stairs yake awe km;
..controler wangu
..director wangu
..advicer wangu

YAAN AWE KIMBILIO LANGU KWA CHOCHOTE NITAKACHOSHINDWA/UWEZO WANGU WA UBONGO UTAKAPOISHIA BAS ANIPE TAFU...n nt material thng..
sipend wanasesere au wanaojifanya km wametoka na kat ya kinshasa....m simple by nature so napendsa mwanaume simpo km mimi ..mimi sipak sjirembi ata poda sigusi iweje sasa men wangu awe abanduki dresssng trebo na mapoda kumi kumi ,wanja ,lip stk....ohhh no for that case nakuruhusu uniite nachagua sana bt MANJONJO BOY noooo apa hawana nafasi

Nimeipenda sana,mwanamke mwenye akili anapaswa kuwa na list hii ya NO na YES kama anataka mwenza mzuri....:smile-big:
 
si unajua bado mapema kusema nimepata? Ila sijaona pm yako kulikoni?


mmmhh jamani waonaje kama tujianza hapa hapa kwanza..
mmhh kama tunaendelea vizuri tuingie chumbani
hahah lol...
hatuwezi waacha wageni halafu tuingie chumbani au wasemaje??
 
si haya 2memaliza zamani. all the best Jaluo.
 
mmmhh jamani waonaje kama tujianza hapa hapa kwanza..

mmhh kama tunaendelea vizuri tuingie chumbani
hahah lol...
hatuwezi waacha wageni halafu tuingie chumbani au wasemaje??

hahahaa kwa hiyo tuanzie sebuleni kwanza?
 
Back
Top Bottom