naona wewe um pm GodfreyTajiri maana jamaa anajivuta
kwa kudai walioachika watume maombi mwisho mwisho.
Asante swithat nimefarijika ntaku pm hani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona wewe um pm GodfreyTajiri maana jamaa anajivuta
kwa kudai walioachika watume maombi mwisho mwisho.
Dah! inabidi maombi yenu yawe ya mwisho mwisho kufikiriwa.
naona wewe um pm GodfreyTajiri maana jamaa anajivuta
kwa kudai walioachika watume maombi mwisho mwisho.
ja sirati vipi maendeleo?
maendeleo gan...?
si hayo anayo yahangaikia
mi sichagui kakangu ila nisichotaka ni MWANAUME MWENYE MBWEMBWE ,MAJIGAMBO,ANAYEJIBUST ...APANA
napenda mwanaume wa kawaida ..asiye na makuu ,wakawaida tu,anayevaaa simpo siyo manguo ya gharama sana apana ni kawaida tu cz i do believe mwanaume anayevaa masut daily pasipo sababu maalumu,anayevaa machen ,maviatu ya laki 5 namchululia km ana matatizo..napenda usafi na si mambo ya show off...
mwanaume kwangu ninamthamin kwa up stairs yake awe km;
..controler wangu
..director wangu
..advicer wangu
YAAN AWE KIMBILIO LANGU KWA CHOCHOTE NITAKACHOSHINDWA/UWEZO WANGU WA UBONGO UTAKAPOISHIA BAS ANIPE TAFU...n nt material thng..
sipend wanasesere au wanaojifanya km wametoka na kat ya kinshasa....m simple by nature so napendsa mwanaume simpo km mimi ..mimi sipak sjirembi ata poda sigusi iweje sasa men wangu awe abanduki dresssng trebo na mapoda kumi kumi ,wanja ,lip stk....ohhh no for that case nakuruhusu uniite nachagua sana bt MANJONJO BOY noooo apa hawana nafasi
Deadline lini??
we wamoto kerege bado aujampata BHOKE??<br />
njoo bas uku nikukonyeze wakat unamsubiria NYAMBURA WAKO....
bado ja turi. Sijui nitoe na picha kabisa labda maombi yatakuwa mengi mengi.ja sirati vipi maendeleo?
mmhh Jamani <br />
Jaluo_Nyeupe umepata ??
si unajua bado mapema kusema nimepata? Ila sijaona pm yako kulikoni?
mmmhh jamani waonaje kama tujianza hapa hapa kwanza..
mmhh kama tunaendelea vizuri tuingie chumbani
hahah lol...
hatuwezi waacha wageni halafu tuingie chumbani au wasemaje??
<br />si haya 2memaliza zamani. all the best Jaluo.
awe anajua kupika nyuka(uji)