MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Majibu yenu Great Thinkers ni Muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani tusidanganyane.Watanzania wengi hatuko huru kuongea kingereza hasa hasa tuliofundishwa miaka saba kwa kiswahili na miaka minne kwa KingerezaPhD holder halafu unachapia? Cripes! [emoji848]
Nenda kajenge kibanda uhamie huko huko ndiyo umuabudu vizuri mungu wenu anayeliwa na minyoo.Hivi kwenda Kuzuru Kaburi la Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Sisi Watu wa Kawaida utaratibu ukoje labda?
Putin wala habongi kingereza akiwa anatoa matamko yake mubashara anaongea kirusi na anaeleweka na haohao waingereza na Americans na viingereza vyaoJamani tusidanganyane.Watanzania wengi hatuko huru kuongea kingereza hasa hasa tuliofundishwa miaka saba kwa kiswahili na miaka minne kwa Kingereza
Julius Kambarage Nyerere hakuna alipokutana na Kiswahili katika soma soma yake.Hivyo alikuwa anaweza kujieleza vizuri Kwa Kingereza.Kitendo cha kubadilisha kiswahili kama rugha ya kufundishia imefanya wasomi wengi kuwa dhaifu kujieleza kwa kutumia kingereza
Hata Bi Mkubwa huko Dubai Ma mwinyi ya huko yanapiga Arab tu na Mkalimani ndio anatohoaPutin wala habongi kingereza akiwa anatoa matamko yake mubashara anaongea kirusi na anaeleweka na haohao waingereza na Americans na viingereza vyao
Mimi nashangaa hii nchi mpaka saivi Teaching and Learning language Ni English? hii kitu inashababisha tunashindwa kujua kiswahili fasaha.Hata Bi Mkubwa huko Dubai Ma mwinyi ya huko yanapiga Arab tu na Mkalimani ndio anatohoa
Rugha ❌❌Jamani tusidanganyane.Watanzania wengi hatuko huru kuongea kingereza hasa hasa tuliofundishwa miaka saba kwa kiswahili na miaka minne kwa Kingereza
Julius Kambarage Nyerere hakuna alipokutana na Kiswahili katika soma soma yake.Hivyo alikuwa anaweza kujieleza vizuri Kwa Kingereza.Kitendo cha kubadilisha kiswahili kama rugha ya kufundishia imefanya wasomi wengi kuwa dhaifu kujieleza kwa kutumia kingereza
Mbona wasomi wa zamani walikuwa wanajua kiigereza vizuri tu hata kama kaishia darasa la nne. Yule jamaa wa PhD yeye ilikuwaje mpaka level ile lakini hajui kiingereza wala kiswahili. Ndiyo maana watu wanamashaka na elimu yake pamoja na uraia wake. Alianza kudai yeye ni Muhaya ila huko hakutoboa akahamia kwa wasukuma.Jamani tusidanganyane.Watanzania wengi hatuko huru kuongea kingereza hasa hasa tuliofundishwa miaka saba kwa kiswahili na miaka minne kwa Kingereza
Julius Kambarage Nyerere hakuna alipokutana na Kiswahili katika soma soma yake.Hivyo alikuwa anaweza kujieleza vizuri Kwa Kingereza.Kitendo cha kubadilisha kiswahili kama rugha ya kufundishia imefanya wasomi wengi kuwa dhaifu kujieleza kwa kutumia kingereza
Unajua Putin elimu yake alisoma kwa lugha gani?Putin wala habongi kingereza akiwa anatoa matamko yake mubashara anaongea kirusi na anaeleweka na haohao waingereza na Americans na viingereza vyao
Kutana na simu inayotumia kiswahili, kudadeki hutoweza pata sehemu ya kutumia hata smsMimi nashangaa hii nchi mpaka saivi Teaching and Learning language Ni English? hii kitu inashababisha tunashindwa kujua kiswahili fasaha.
Mimi Leo nikienda ATM kutoa hela sichagui kiswahili maana naona miyeyusho maneno siyaelewi kwa sababu hayatumiki Sana.
Siku nikiipata hii nafasi nitalibomoa kaburiHivi kwenda Kuzuru Kaburi la Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Sisi Watu wa Kawaida utaratibu ukoje labda?
Ila hata kama elimu unasomea kwa lugha ya tofauti na english ila huwa na somo la english na katika mazingira hayo hayo kuna watu wanakigonga kiinglish vizuri tu.Unajua Putin elimu yake alisoma kwa lugha gani?
🤣🤣tak nanihiiiPhD holder halafu unachapia? Cripes! 🤔