RWANTANG
JF-Expert Member
- Dec 28, 2021
- 1,143
- 1,425
Kwakua lililopo limekosewa????Siku nikiipata hii nafasi nitalibomoa kaburi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakua lililopo limekosewa????Siku nikiipata hii nafasi nitalibomoa kaburi
Nani amekuambia ukiongea lugha ya kigeni kwa kuikosea unaharibu image yako. Ni mjinga pekee anayeamini ubora wa mtu upo katika kuzungumza lugha ya kigeni kwa ufasaha.wakuandikiwa bora maana anajitambua kuwa hajui lugha na kukubali kupewa mwongozo na kulinda image yake kwa public!
Ushawaona raia wake wanavipata shida wakiwa nnje ya Urusi??? Wewe toka hapo nenda Zimbabwe au South tu utaujuwa umuhimu wa KingerezaPutin wala habongi kingereza akiwa anatoa matamko yake mubashara anaongea kirusi na anaeleweka na haohao waingereza na Americans na viingereza vyao
Mimi nakijua siwezi pata shidaUshawaona raia wake wanavipata shida wakiwa nnje ya Urusi??? Wewe toka hapo nenda Zimbabwe au South tu utaujuwa umuhimu wa Kingereza
Kiingereza kinasaidia nini?Mbona Japan,Uchina,Urusi,Korea ,Italy,Ufaransa,hawajui kiingereza na ni matajiri Sana.Sisi tunang'ang'ania kiingereza na ni masikini.Ukoloni umeacha Siri kubwa Sana hapa Africa.Majibu yenu Great Thinkers ni Muhimu.
Kiswahili lugha yetu,hatukijui,watafuta kiingereza,umeandika RUGHA,ndio nini.Mimi na wewe hatuchekani kwenye kiswahili.Andika LUGHA sio RUGHA.Jamani tusidanganyane.Watanzania wengi hatuko huru kuongea kingereza hasa hasa tuliofundishwa miaka saba kwa kiswahili na miaka minne kwa Kingereza
Julius Kambarage Nyerere hakuna alipokutana na Kiswahili katika soma soma yake.Hivyo alikuwa anaweza kujieleza vizuri Kwa Kingereza.Kitendo cha kubadilisha kiswahili kama rugha ya kufundishia imefanya wasomi wengi kuwa dhaifu kujieleza kwa kutumia kingereza
acha uongooo!!! haya ebu ongea km hivi.....Mimi nakijua siwezi pata shida
Ndio hapo utapata nafasi ya kubomolewaSiku nikiipata hii nafasi nitalibomoa kaburi
Lengo ni kumuadhibu aliyemoKwakua lililopo limekosewa????
stop lying !!! let's talk like this .....acha uongooo!!! haya ebu ongea km hivi.....
ahahahaSiku nikiipata hii nafasi nitalibomoa kaburi
Bila shaka ulipata vurugu ya maono kijana unapitia wkt mgumu sana!..unaonekana tu!!..... hii nayo kwa kiingereza utaisemaje!stop lying !!! let's talk like this .....
PeopleSmall mind discuss...
Wasomi wazamani walifundishwa na wenye lugha yao, na pengine hata mtaani waliitumia ili kuwasiliana nao.Mbona wasomi wa zamani walikuwa wanajua kiigereza vizuri tu hata kama kaishia darasa la nne. Yule jamaa wa PhD yeye ilikuwaje mpaka level ile lakini hajui kiingereza wala kiswahili. Ndiyo maana watu wanamashaka na elimu yake pamoja na uraia wake. Alianza kudai yeye ni Muhaya ila huko hakutoboa akahamia kwa wasukuma.