Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,415
Sheria inayotumika ni hii hii ya kawaida ya kubakana ila tatizo kwetu sisi ni mwanamke gani yupo tayari kwenda kusimama kizimbani kumshitaki mumewe kambaka?
Ila watafiti wanasema wanawake waliomo kwenye ndoa wengi wanabakwa na waume zao!!
Kwa mfano mwanaume katoka huko na mipombe yake saa saba za usiku kakuta mkewe kalala then kamkurupua usingizini bila hata ya kumuandaa anaanza kulazimisha tendo........huo ndiyo ubakaji ndani ya ndoa brooo!!! Kwa sababu tendo la ndoa ni maandalizi ndugu yangu!!
Ukimfanyia hivyo mkeo, akaenda polisi kutoa maelezo akapewa PF3 na kwenda hospital na daktari akaconfirm kwamba kweli anamichubuko inayotokana na kulazimishwa tendo la ndoa na akakusimamisha kizimbani umembaka!!! Loh!! Unakwenda jela miaka yako kadhaa kama wabakaji wa kawaida tu!!
Ila watafiti wanasema wanawake waliomo kwenye ndoa wengi wanabakwa na waume zao!!
Kwa mfano mwanaume katoka huko na mipombe yake saa saba za usiku kakuta mkewe kalala then kamkurupua usingizini bila hata ya kumuandaa anaanza kulazimisha tendo........huo ndiyo ubakaji ndani ya ndoa brooo!!! Kwa sababu tendo la ndoa ni maandalizi ndugu yangu!!
Ukimfanyia hivyo mkeo, akaenda polisi kutoa maelezo akapewa PF3 na kwenda hospital na daktari akaconfirm kwamba kweli anamichubuko inayotokana na kulazimishwa tendo la ndoa na akakusimamisha kizimbani umembaka!!! Loh!! Unakwenda jela miaka yako kadhaa kama wabakaji wa kawaida tu!!