Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Chadema hakuna umaskini.Mara ya Mwisho kumsikia Mbowe ni pale Mbagala alipowafokea TBC na kuwatimua mkutanoni siku ya uzinduzi wa kampeni za Chadema.
Sijamsikia tena toka hapo, ni kama vile ana kitu moyoni. Lisu anapambana peke yake huku na huko,.
Kampeni za mwaka huu Mbowe hana raha kabisa,! Hata jimboni kwake bado hajazindua kampeni mpaka leo.
Kuna mawili:
1. UKATA.
Juzi Membe kalalama kwamba wana hali mbaya kifedha huko upinzani, mapesa kutoka nje hayaingii selikali imezuia, marafiki wafanayabishara hawawachangii michango tena.
Kwa hoja hii ya Membe, Lisu anamkamua Mbowe kweli kweli, na kama mjuavyo Lisu ni masikini hana hela tofauti na Lowasa alitoa mabilioni yake pamoja na aliyochangiwa na friends of Lowasa yote yalijaa kwenye fuko la chadema ndio maana Kampeni za wakati ule kipindi kama hiki Mbowe alikuwa na furaha sana na alikuwa tayari ameshazunguka sehemu kubwa ya nchi wakiambatana na Lowasa.
2. AMEKATA TAMAA.
Yawezekana pia Mbowe kaona bora ajikalie kimya kuliko kuhangaika na kitu ambacho matokeo yake ni 0.
Yani wewe fikiria anaesikika ni Lisu peke yake, hata katika majimbo yote ni majimbo hayazidi 5 ambayo wapinzani wanaonesha uhai, kwingine kote ni kama hawapo. Hata lisu akifika kwenye mkutano anajinadi pekeake ni mara chache sana kusikia anawanadi wagombea wake wa ubunge na udiwani.
Kwenye huu uchaguzi Mbowe hajaingiza hata sh. 10 ila zinamtoka tu ndio maana kanuna sana.
Hebu ona furaha akiyokuwa nayo Mbowe enzi za EL kisha linganjsha na wakati huu
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1573232View attachment 1573233
Kwa mini mmezuia chopa?
Ila baada ya uchaguzi tutawaletea bill ya tra yw matangazo.
Nyi so wajanja?.tutaona sasaa nano mjanja