14 Januari 2024
Picha maktaba : Deogratius Cosmas Mahinyila
Wakili wa mahakama kuu ya Tanganyika Deogratius Mahinyila leo ametangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa taifa wa Baraza la Vijana wa CHADEMA yaani BAVICHA kufuatia uchaguzi mkuu wa baraza la vijana wa CHADEMA uliofanyika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam
Wakili Deogratius Mahinyila ni mhitimu wa chuo kikuu University of Dar es Salaam (UDSM) degree LLB na amepita shule ya Sheria na kusajiliwa pia kuthibitishwa kutumika na wateja wa huduma za kisheria na utetezi kama wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania
Wakili Deogratius Mahinyila anarithi mikoba ya mwalimu John Pambalu ambao muda wake wa uongozi kama mwenyekiti wa BAVICHA taifa umekwisha
Wakili Deogratius Mahinyila amepitia mengi ambayo wanasiasa wa upinzani hutegemea kuyapitia katika siasa za Tanzania ambazo zimetawali kwa wivu uliopitiliza na chama dola kongwe CCM kinachofanya kila kiwezekanavyo kubaki madarakani hata kwa mbinu zisizo za kidemokrasia, utawala bora na mikakati mingine haramu ambayo kisheria haikubaliki kwa kufuatana na katiba ya nchi tuliyo nayo..
TOKA MAKTABA PIA MAPITO YA KIONGOZI MPYA WA BAVICHA
09 May 2021
Toka kugombea udiwani mpaka kesi ya uhujumu uchumi
The Chanzo imefanya mahojiano na mwanasheria Deogratias Mahinyila, aliyekuwa mgombea udiwani kupitia CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 katika kata ya Berege iliyopo wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania.
Wakili Deogratius Mahinyila ambaye ni kijana aliyehitimu masomo yake mwaka 2019 Chuo kikuu cha Dar es salaam UDSM na kuamua kwenda kugombea udiwani kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2020, ameongea mengi kuhusiana na dosari zilizojitokeza wakati wa uchaguzi pamoja na mashitaka yanayo mkabili hivi sasa kutokana na mchakato mzima wa uchaguzi.
Pia ameeleza kuhusiana na mwenendo mzima wa mfumo wa utoaji haki nchini Tanzania hususani mfumo wa haki jinai unavyoumiza watu kupitia sheria zinazozuia dhamana kwa baadhi ya makosa na namna watu wanavyotumikia adhabu kinyume cha sheria kwa mtindo ambao umekuwa maarufu kama 'kifungo kidogo...
27 March 2023 kijijini Berege Mpwapwa Tanzania, wakili Deo Mahinyila akihutubia
15 November 2024
UCHAGUZI WA TAMISEMI 2024
Wakili Wakili Deogratius Mahinyila siyo mgeni katika shughuli za kisiasa kuanzia kuwania nafasi ya ngazi ya uenyekiti wa kijiji ...
Uongozi Chadema Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameonyesha kutoridhishwa na majibu ya rufaa za wagombea wao kutoka kamati ya rufaa,juu ya wagombea walioenguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa.Hayo yamejiri leo Novemba 15, 2024 wakati Wakili Deogratius Mahinyila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Mkoa wa Dodoma alipokuwa akieleza kusikitishwa kwake na maamuzi hayo mbele ya ofisi ya mKuu wa wilaya.
13 Januari 2025
Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA BAVICHA wakati wa Mkutano Mkuu ambao katika mkutano huu ndiyo walipata nafasi ya kuwauliza maswali kuelekea uchaguzi wa viongozi wakuu wa baraza hilo BAVICHA ambao umefanyika jiji Dar es Salaam katika ukumbi wa Ubungo Plaza.
Wakili wa Mahakama Kuu achaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa BAVICHA Chadema leo 14.01.25.
Je Wakili msomi Deogratius Mahinyila ni nani ?
Wakili wa mahakama kuu ya Tanganyika Deogratius Mahinyila leo ametangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa taifa wa Baraza la Vijana wa CHADEMA yaani BAVICHA kufuatia uchaguzi mkuu wa baraza la vijana wa CHADEMA uliofanyika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam
Wakili Deogratius Mahinyila ni mhitimu wa chuo kikuu University of Dar es Salaam (UDSM) degree LLB na amepita shule ya Sheria na kusajiliwa pia kuthibitishwa kutumika na wateja wa huduma za kisheria na utetezi kama wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania
Wakili Deogratius Mahinyila anarithi mikoba ya mwalimu John Pambalu ambao muda wake wa uongozi kama mwenyekiti wa BAVICHA taifa umekwisha
Wakili Deogratius Mahinyila amepitia mengi ambayo wanasiasa wa upinzani hutegemea kuyapitia katika siasa za Tanzania ambazo zimetawali kwa wivu uliopitiliza na chama dola kongwe CCM kinachofanya kila kiwezekanavyo kubaki madarakani hata kwa mbinu zisizo za kidemokrasia, utawala bora na mikakati mingine haramu ambayo kisheria haikubaliki kwa kufuatana na katiba ya nchi tuliyo nayo..
TOKA MAKTABA PIA MAPITO YA KIONGOZI MPYA WA BAVICHA
09 May 2021
Wakili Deogratious Mahinyila Toka kugombea udiwani mpaka kesi ya uhujumu uchumi
Toka kugombea udiwani mpaka kesi ya uhujumu uchumi
The Chanzo imefanya mahojiano na mwanasheria Deogratias Mahinyila, aliyekuwa mgombea udiwani kupitia CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 katika kata ya Berege iliyopo wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma nchini Tanzania.
Wakili Deogratius Mahinyila ambaye ni kijana aliyehitimu masomo yake mwaka 2019 Chuo kikuu cha Dar es salaam UDSM na kuamua kwenda kugombea udiwani kipindi cha uchaguzi mkuu wa 2020, ameongea mengi kuhusiana na dosari zilizojitokeza wakati wa uchaguzi pamoja na mashitaka yanayo mkabili hivi sasa kutokana na mchakato mzima wa uchaguzi.
Pia ameeleza kuhusiana na mwenendo mzima wa mfumo wa utoaji haki nchini Tanzania hususani mfumo wa haki jinai unavyoumiza watu kupitia sheria zinazozuia dhamana kwa baadhi ya makosa na namna watu wanavyotumikia adhabu kinyume cha sheria kwa mtindo ambao umekuwa maarufu kama 'kifungo kidogo...
27 March 2023 kijijini Berege Mpwapwa Tanzania, wakili Deo Mahinyila akihutubia
15 November 2024
UCHAGUZI WA TAMISEMI 2024
Wakili Wakili Deogratius Mahinyila siyo mgeni katika shughuli za kisiasa kuanzia kuwania nafasi ya ngazi ya uenyekiti wa kijiji ...
Uongozi Chadema Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameonyesha kutoridhishwa na majibu ya rufaa za wagombea wao kutoka kamati ya rufaa,juu ya wagombea walioenguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa.Hayo yamejiri leo Novemba 15, 2024 wakati Wakili Deogratius Mahinyila ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Mkoa wa Dodoma alipokuwa akieleza kusikitishwa kwake na maamuzi hayo mbele ya ofisi ya mKuu wa wilaya.
13 Januari 2025
Wakili Deogratias Mahinyila mgombea BAVICHA alivyojinadi na kubanwa Maswali na Wajumbe
Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA BAVICHA wakati wa Mkutano Mkuu ambao katika mkutano huu ndiyo walipata nafasi ya kuwauliza maswali kuelekea uchaguzi wa viongozi wakuu wa baraza hilo BAVICHA ambao umefanyika jiji Dar es Salaam katika ukumbi wa Ubungo Plaza.