Je, na wale Ndugu zetu Watanzania Wawili Watatu 'aliowapitia' na Wao pia wamo katika hii Idadi au Wameuchuna?

Je, na wale Ndugu zetu Watanzania Wawili Watatu 'aliowapitia' na Wao pia wamo katika hii Idadi au Wameuchuna?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Watu 120 zaidi wamemtuhumu mwanamuziki wa rap Sean ‘Diddy’ Combs kwa unyanyasaji wa kingono, ubakaji na kutumiwa vibaya kingono.

-
Wakili wa Texas Tony Buzbee amesema kuwa 25 miongoni mwa wateja wake walidhulumiwa wakiwa wangali watoto wenye umri wa miaka 9 -15.

-
Nusu ya idadi hiyo ni wanaume na nusu nyingine wanawake ambao wanatoka zaidi ya majimbo 25 kote Marekani.

-
Hii ni mara ya kwanza kwa ‘Diddy’ kushutumiwa kuwadhulumu watoto kingono.

-
Madai hayo yalianza kati ya 1991 hadi hivi majuzi tu mwaka huu, Bw Buzbee alisema.

-
Wengi wa walalamikaji, alisema, wanadai walibakwa baada ya karamu zilizoandaliwa na Bw Combs ambazo zilifanyika katika kumbi zinazojulikana, pamoja na makazi ya kibinafsi na hoteli.

-
Bw Buzbee alisema hafla hizo ziliandaliwa kusherehekea kuzinduliwa kwa albamu, au sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya na sherehe za Siku ya Uhuru wa Marekani.

-
“Mara nyingi, haswa vijana wanaotaka kuingia katika tasnia hiyo, walilazimishwa kufanya aina hii ya tabia kwa ahadi ya kufanywa kuwa nyota au ahadi ya kuwa na Sean Combs kusikiliza kanda yao,” Bw Buzbee alisema.

Chanzo Taarifa: bbcswahili

Waambieni wasione Aibu na Wao kusema kuwa Wamemshtaki kwani nasikia kuna Fidia ya Mabilioni yao watapewa.
 
Watu 120 zaidi wamemtuhumu mwanamuziki wa rap Sean ‘Diddy’ Combs kwa unyanyasaji wa kingono, ubakaji na kutumiwa vibaya kingono.

-
Wakili wa Texas Tony Buzbee amesema kuwa 25 miongoni mwa wateja wake walidhulumiwa wakiwa wangali watoto wenye umri wa miaka 9 -15.

-
Nusu ya idadi hiyo ni wanaume na nusu nyingine wanawake ambao wanatoka zaidi ya majimbo 25 kote Marekani.

-
Hii ni mara ya kwanza kwa ‘Diddy’ kushutumiwa kuwadhulumu watoto kingono.

-
Madai hayo yalianza kati ya 1991 hadi hivi majuzi tu mwaka huu, Bw Buzbee alisema.

-
Wengi wa walalamikaji, alisema, wanadai walibakwa baada ya karamu zilizoandaliwa na Bw Combs ambazo zilifanyika katika kumbi zinazojulikana, pamoja na makazi ya kibinafsi na hoteli.

-
Bw Buzbee alisema hafla hizo ziliandaliwa kusherehekea kuzinduliwa kwa albamu, au sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya na sherehe za Siku ya Uhuru wa Marekani.

-
“Mara nyingi, haswa vijana wanaotaka kuingia katika tasnia hiyo, walilazimishwa kufanya aina hii ya tabia kwa ahadi ya kufanywa kuwa nyota au ahadi ya kuwa na Sean Combs kusikiliza kanda yao,” Bw Buzbee alisema.

Chanzo Taarifa: bbcswahili

Waambieni wasione Aibu na Wao kusema kuwa Wamemshtaki kwani nasikia kuna Fidia ya Mabilioni yao watapewa.
Ushahidi upo wazi mkuu. Wenyewe wamekiri kuwa walipakwa mafuta na yule bwana kisha akawainamisha. Kwa hiyo, hapa TZ tuna wapakwa mafuta wawili kwenye orodha ya Pdidy. Hilo liko wazi mkuu.
 
Watu 120 zaidi wamemtuhumu mwanamuziki wa rap Sean ‘Diddy’ Combs kwa unyanyasaji wa kingono, ubakaji na kutumiwa vibaya kingono.

-
Wakili wa Texas Tony Buzbee amesema kuwa 25 miongoni mwa wateja wake walidhulumiwa wakiwa wangali watoto wenye umri wa miaka 9 -15.

-
Nusu ya idadi hiyo ni wanaume na nusu nyingine wanawake ambao wanatoka zaidi ya majimbo 25 kote Marekani.

-
Hii ni mara ya kwanza kwa ‘Diddy’ kushutumiwa kuwadhulumu watoto kingono.

-
Madai hayo yalianza kati ya 1991 hadi hivi majuzi tu mwaka huu, Bw Buzbee alisema.

-
Wengi wa walalamikaji, alisema, wanadai walibakwa baada ya karamu zilizoandaliwa na Bw Combs ambazo zilifanyika katika kumbi zinazojulikana, pamoja na makazi ya kibinafsi na hoteli.

-
Bw Buzbee alisema hafla hizo ziliandaliwa kusherehekea kuzinduliwa kwa albamu, au sherehe za mkesha wa Mwaka Mpya na sherehe za Siku ya Uhuru wa Marekani.

-
“Mara nyingi, haswa vijana wanaotaka kuingia katika tasnia hiyo, walilazimishwa kufanya aina hii ya tabia kwa ahadi ya kufanywa kuwa nyota au ahadi ya kuwa na Sean Combs kusikiliza kanda yao,” Bw Buzbee alisema.

Chanzo Taarifa: bbcswahili

Waambieni wasione Aibu na Wao kusema kuwa Wamemshtaki kwani nasikia kuna Fidia ya Mabilioni yao watapewa.
wale kujifanya wao ndo vidume hapa mjini watauchuna tu....aibu hii hawaiwezi kamwe
 
Ushahidi upo wazi mkuu. Wenyewe wamekiri kuwa walipakwa mafuta na yule bwana kisha akawainamisha. Kwa hiyo, hapa TZ tuna wapakwa mafuta wawili kwenye orodha ya Pdidy. Hilo liko wazi mkuu.
Umemsahau na yule Cameraman wake ambaye Yeye ndiyo wala hafichi kuwa Didi 'Aliwapididi' kisawasawa mule ndani.
 
Back
Top Bottom