GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Tanzania Simba SC yangu imeshinda na kuvuka (kufuzu) Makundi ya Klabu Bingwa Afrika (CAFCL).
2. Uingereza timu yangu pendwa ya Liverpool FC imemfunga mpinzani mpya Manchester City.
3. Sudan timu inayonivutia ya Al Hilal FC imeweza kuifunga klabu ninayoichukia kuliko hata ninavyomchukia Shetani ya Yanga SC na kuitoa katika ligi ya wanamume na wanaojua pekee ya Klabu Bingwa Afrika (CAFCL).
2. Uingereza timu yangu pendwa ya Liverpool FC imemfunga mpinzani mpya Manchester City.
3. Sudan timu inayonivutia ya Al Hilal FC imeweza kuifunga klabu ninayoichukia kuliko hata ninavyomchukia Shetani ya Yanga SC na kuitoa katika ligi ya wanamume na wanaojua pekee ya Klabu Bingwa Afrika (CAFCL).