Je, na wewe unakerwa sana na utumiaji wa aina hii wa whatsapp?

Je, na wewe unakerwa sana na utumiaji wa aina hii wa whatsapp?

Exile

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2021
Posts
1,477
Reaction score
3,642
Mtu unakuta ameweka masetting kibao whatsapp ambayo ukimtumia kitu ndani ya masaa 24 kinajifuta bahati mbaya yeye hakuwa online au alipo mtandao unasumbua, Mtu mwenyewe ni jobless halafu badae anakuja kukusumbua nitumie tena binafsi sisumbuki tena kutuma hata apige magoti, na imekaa kitapeli kwa wafanyabiashara wa online anaweka hivo ili hata akikutapeli ukose meseji za ushahidi

Wengine wamekwekea masharti kwenye status zao wewe zao unaziangalia tu lakini wewe ukiweka yeye anaona kimya kimya hawa mimi nawamute tu haiwezekani mtu aniwekee masharti ya kijinga kama hataki afute namba yangu.
 
20230526_073706.png
 
Sasa unakereka nini,vitu vingine unapotezea tu.Ukijua kwamba kaona status inakuongezea nini? Kama kaamua chatt zifutike wewe shida yako nini, kama ni jobless ni yeye wewe unaumia kitu gani?

Hapo kwenye kutorudia kutuma kitu naungana na wewe huo ndo msimamo wa kiume,mimi kwanza nikiona mtu kaweka hiyo setting hata huwa sijisimbui kutuma sms.
 
Makundi yafuatayo;
1. Matapeli
2. Malaya
3. Mashoga
4. Wadhulumaji.

Hivi, imagine mtu anakopa hela, anakuandikia sms 'Ndugu yangu, nakuomba uniazime laki tano. Kuna mambo yangu niyamalize, nitarudisha baada ya wiki tatu'.

Pale chini linakuja notitication ya timer ya 24 hours. Kabla hujamjibu, unajaribu kubadili timer lakini anarudisha. Kristo!!. Haki ya Mungu sikupi, unataka kunikosesha ushahidi?

The good thing is, WhatsApp wameweka option ya kubakiza ujumbe usiotaka ufutike pale timer ya mhusika inapotimia.

Status siyo ishu.
 
Kuna wengine hawajui; waelimisheni tu. No one was born a ready legend.

^Hiyo ndiyo Tanzania ninayoitaka mimi^ ~ in Uncle Magu's voice.
 
Mtu unakuta ameweka masetting kibao whatsapp ambayo ukimtumia kitu ndani ya masaa 24 kinajifuta bahati mbaya yeye hakuwa online au alipo mtandao unasumbua, Mtu mwenyewe ni jobless halafu badae anakuja kukusumbua nitumie tena binafsi sisumbuki tena kutuma hata apige magoti, na imekaa kitapeli kwa wafanyabiashara wa online anaweka hivo ili hata akikutapeli ukose meseji za ushahidi

Wengine wamekwekea masharti kwenye status zao wewe zao unaziangalia tu lakini wewe ukiweka yeye anaona kimya kimya hawa mimi nawamute tu haiwezekani mtu aniwekee masharti ya kijinga kama hataki afute namba yangu.
Naionaga Kwa Malaya wa telegram kumbe na wasap ipo?
 
Back
Top Bottom