Je Nadanganywa??? Pls nishaurini..

Je Nadanganywa??? Pls nishaurini..

Mimi ninaona una tamaa ya "mavitus"...............angalia umeongelea ana nyumba amejenga hapo Dar................wala siyo kitu muhimu ...........umezungumzia mshahara wako.........hilo ni muhimu kuwa hivi una sababu gani kuandamana na mwanaumme ambaye hata yeye huko ni mgeni .....kwa nini miaka yote hiyo hajapata uraia?

Mara nyingi mpenzi anayeonekana mpole na hajawahi kukukasirisha ujue ana mambo mengi anakuficha................ushauri wangu huyo anajihusisha na shughuli ambazo sizo za halali huko nje na wewe atakutumbukiza huko bila ya wewe kujua...............

Nimeshangaa umeongelea mali, elimu.....n.k mbona hujazungumzia ndugu na marafiki zake kama umekwisha kuonana nao?

Ni watu wa namna gani..marafiki wake wakoje...............utajifunza zaidi juu ya huyu mpenzi mpya kwa kuwafahamu watu ambao anaopenda wamzunguke.....ushauri wangu usiinue guu kwenda huko na huyo jamaa iwe mwisho kwa sababu yaelekea anakuficha mengi mno.....na huo wepesi wa kubadilisha dini ni lazima machale yakucheze......usifikiri ulaini anaokupa ni wa kudumu.................Be strong and stick with your knave..ni msalaba wako huo dada usitafute shari nyingine kubwa zaidi ya uliyonayo..........Ciao for now
 
nyamagaro;Dah! FORM 4, unapata 1Million, mimi nina PhD sipati hiyo bado unajilengesha kwa wanaume tapeli in the name of USA (labda ya Tengeru). I do not advise. Fetch your own heart as you do it to your heart. Period!


Upo wapi ambapo una PhD bado hupati Tsh 1000,000? Pole sana lakini
 
Point))) Dada angu nakushauri jiendeleze kielimu hapo hapo Bongo na mwambie msela kama anakupenda then akusaidie uendelee hapo bongo. Sio wote wenye maisha mazuri nje., we jiulize why anashindwa sometimes kukutumia pesa kidogo ukiomba wakati kajenga Bangaloo hapo Bongo? Mi nipo nje n maisha kwa wengine huku ni bora zaidi ya hapo home.
You ar Lucky., 4M4 wth a Salary of tht amount, THINK BIG:smile-big::smile-big:


Ukumbuke pia huko Ugaibuni kupata hiyo pesa hata kama kajenga ameihangaikia kweli maana kazi huko siyo lelemama, unafanya kazi haswa siyo kama hapa Bongo unaweza kupata pesa kilaini kwa visafari vya hapa na pale au allowance za hapa na pale. Kukutumia hiyo $100 ameifanyia kazi haswa na kama si mtu anayekupenda kweli kweli hawezi kukupa. Kama anakupenda atakuowa, pia kam wengine walivyo shauri fanya mpango umutembelee basi akakae naye kwa mda muweke mipango yenu sawa sawa. Ila usiwe tegemezi sana kwa huyo mchumba, ukiomba omba pesa sana Itambowa, Marekani si kama bongo mambo ya kupigana Mizinga.
 
Back
Top Bottom