Je, Naibu Waziri Mkuu Biteko kamshindwa mkurugenzi EWURA kwenye suala la kutoa vibali gesi asilia ya magari?

Je, Naibu Waziri Mkuu Biteko kamshindwa mkurugenzi EWURA kwenye suala la kutoa vibali gesi asilia ya magari?

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,436
Reaction score
7,955
EWURA kupitia Mkurugenzi wao naona wanamvimbia Mh BITEKO, Hali ya utoaji huduma ya gesi asilia kwa magari ni mbaya sana! watu wanaenda kujaza magari vituo viwili tu Tanzania nzima kweli? tena wanakaa hadi masaa matatu kupata huduma

Kuna kampuni ya Dalbit tunaona imekamilisha kujenga kituo cha kisasa pale Airport lakini tunaambiwa EWURA WANANYIMA VIBALI! sasa najiuliza je Mkurugenzi EWURA ni mkubwa kuliko NAIBU WAZIRI MKUU?

au ndio kama ya Makonda kumtishia WAZIRI MKUU?

yaan mtu amepambana kujenga kituo tena cha kisasa halafu mnamyima vibali kweli kweli kweeeeli jamani?

Ulaaniwe sana wewe Mume wa spika wewe kutesa watu kukaa foleni kupata huduma kwenye ardhi yao! au mwenzetu ni Mzambia? unahujumu? daaah
 
Tatizo la gasi asilia ni kubwa sana kama Biteko ameshindwa basi PM yupo yani badala ya kurahisisha upatikanaji wa hiyo gesi watu angalau wapunguze adha ya mafuta ndio kwanza haipatikani sijui sisi Tanzania tutafanikiwa kwenye nini.
 
Tatizo la gasi asilia ni kubwa sana kama Biteko ameshindwa basi PM yupo yani badala ya kurahisisha upatikanaji wa hiyo gesi watu angalau wapunguze adha ya mafuta ndio kwanza haipatikani sijui sisi Tanzania tutafanikiwa kwenye nini.
aibu sana kunyima vibali ni ushetani
 
Hawa mbweha hata siku moja hawajawahi kututakia unafuu wa maisha.

Wanajuana, wanalindana.
Usikute watu wa mafuta wameshawapa rushwa wacheleweshe, wana faida zaidi kwenye mafuta kuliko gesi.

Na siku gesi ikiruhusiwa vibali, wote tukakimbilia huko, itakuja kuwa bei juu zaidi.

Ndio tanzania hii.
 
EWURA kupitia Mkurugenzi wao naona wanamvimbia Mh BITEKO, Hali ya utoaji huduma ya gesi asilia kwa magari ni mbaya sana! watu wanaenda kujaza magari vituo viwili tu Tanzania nzima kweli? tena wanakaa hadi masaa matatu kupata huduma

Kuna kampuni ya Dalbit tunaona imekamilisha kujenga kituo cha kisasa pale Airport lakini tunaambiwa EWURA WANANYIMA VIBALI! sasa najiuliza je Mkurugenzi EWURA ni mkubwa kuliko NAIBU WAZIRI MKUU?

au ndio kama ya Makonda kumtishia WAZIRI MKUU?

yaan mtu amepambana kujenga kituo tena cha kisasa halafu mnamyima vibali kweli kweli kweeeeli jamani?

Ulaaniwe sana wewe Mume wa spika wewe kutesa watu kukaa foleni kupata huduma kwenye ardhi yao! au mwenzetu ni Mzambia? unahujumu? daaah
Kumbuka biashara ya mafuta ni biashara ambayo baadhi ya wamiliki ni viongozi ambao hata yeye hana ujanja wa kuongea chochote.
Kama sikosei huu mpango wa magari kutumia gas upo zaidi ya miaka saba na serikali ilibainisha maeneo ambayo itajenga vituo.
Lakini kinachoendelea ni siasa tu utekelezaji ni zero.
Ukitumia gas basi ujue biashara ya mafuta ndio bye bye! Mkuu!
 
Ukipita ubungo opposite na terminal na Tamara pale Karibu na Bodi ya mikopo kuna misululu mirefu muda wote ,nasikia mtu ana tumia hadi masaa matatu ili zamu yake ya kujaza ifike
 
Kumbuka biashara ya mafuta ni biashara ambayo baadhi ya wamiliki ni viongozi ambao hata yeye hana ujanja wa kuongea chochote.
Kama sikosei huu mpango wa magari kutumia gas upo zaidi ya miaka saba na serikali ilibainisha maeneo ambayo itajenga vituo.
Lakini kinachoendelea ni siasa tu utekelezaji ni zero.
Ukitumia gas basi ujue biashara ya mafuta ndio bye bye! Mkuu!
wenye sheli wenyewe waliomba waweke huo gesi ila EWURA shidaa
 
Ukipita ubungo opposite na terminal na Tamara pale Karibu na Bodi ya mikopo kuna misululu mirefu muda wote ,nasikia mtu ana tumia hadi masaa matatu ili zamu yake ya kujaza ifike
Hapa Tazara panashida asikuambie mtu.
 
Ukiona hivyo, anaesababisha kibari kuchelewa ni huyo mwenye kituo cha mafuta cha zamani cha jilani, atakua kishatoa mulungula kwa mtoavibari.
 
Ukiona hivyo, anaesababisha kibari kuchelewa ni huyo mwenye kituo cha mafuta cha zamani cha jilani, atakua kishatoa mulungula kwa mtoavibari.
mwenye kituo cha zamani ni PanAfrica na ndiye aliyempa sehemu akatoboa bomba na kujenga kituo! wala hana shida.

shida Fisadi Mume wa Spika
 
Back
Top Bottom