Kama anazo sifa za mke mwema jeKama hatambui ndugu yeyote upande wa baba hakuna kuoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anazo sifa za mke mwema jeKama hatambui ndugu yeyote upande wa baba hakuna kuoa.
She wants to marry a man who single handedly makes enough money to support a family (wife, children).Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote.
Je, kwa scenario kama hiyo binti anafaa kutolewa mahari na kuolewa?
Na taratibu za mahari zipoje? Kwani navyojua mahari ni ya baba na kama baba hayupo mahari ipokelewe na yeyote upande wa baba yaani shangazi au baba mdogo au mkubwa.
Nina mtoto wa dada yangu mwanaume alikataa mimba na hakutaka dada awajue ndugu zake kabisa na mwanaume aliondoka hatujui hata yupo wapi mwaka wa 20 huu.Kwa hiyo binti akitaka kuolewa asiolewe kisa ndugu hawajulikani? Sijui kwa taratibu zenu ila kwetu kwa issue kama hii mahari watapokea wajomba upande wa mama.Uo ndiyo utaratibu wa mahari, hata ukioa unajua umeoa kweli maana unajua ndugu za binti pande zote mbilina zimeshiriki kukupa mke.
Team kataa ndoa kila siku na visababu vipya. Kama ni hivyo wasimchoshe huyo binti wakaoe kwingine.Ogopa mapel binti anaelelewa na mama tu hafai kuwa mke ,hamsikii tu kwa sasa ndoa ni utapeli wa hali ya juu?
Kabisaaa watapokea waliomlea baasiNina mtoto wa dada yangu mwanaume alikataa mimba na hakutaka dada awajue ndugu zake kabisa na mwanaume aliondoka hatujui hata yupo wapi mwaka wa 20 huu.Kwa hiyo binti akitaka kuolewa asiolewe kisa ndugu hawajulikani? Sijui kwa taratibu zenu ila kwetu kwa issue kama hii mahari watapokea wajomba upande wa mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha na hao wasiojua mila na desturi wanajificha mapungufu yao kwenye kichaka cha hizo mila. Hao jamaa ni zero kabisa hawana wanalolijua na hawajawahi pokea mahari yoyote wala kushiriki kutoa.Nina mtoto wa dada yangu mwanaume alikataa mimba na hakutaka dada awajue ndugu zake kabisa na mwanaume aliondoka hatujui hata yupo wapi mwaka wa 20 huu.Kwa hiyo binti akitaka kuolewa asiolewe kisa ndugu hawajulikani? Sijui kwa taratibu zenu ila kwetu kwa issue kama hii mahari watapokea wajomba upande wa mama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache sasa dada wa watu.Siwezi peleka upande mmoja. Huyu binti atakuwa afai kuwa mke
Sasa wewe mwanaume unayejielewa si utafute huyo aliyelelewa na wazazi wote ili mambo yasiwe mengi😂😂😂. MnahangaikaKweli mkuu, tatizo humu jf wamejaa singo Maza wengi ambao wana binti zao na wanategemea kuwaozesha bila uwepo wa baba au ndugu wa baba wa binti.
Kwa mwanaume anayejielewa hawezi kuoa binti aliyekulia katika hayo mazingira kwani tabia ya binti uwa ni copy ya tabia ya mama yake na ndo maana ndoa nyingi hazikai kwa kipindi hiki kwa sababu ya watoto walio lelewa upande mmoja
Mke mwema anatoka kwa BwanaTatizo siyo kupokea mahari bali ni kwanini binti hajui ndugu yake yeyote upande wa baba? Unadhani huyo binti anaweza kuwa mke mwema?
Madhara ya uzinzi na uasherati hayo.Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote.
Je, kwa scenario kama hiyo binti anafaa kutolewa mahari na kuolewa?
Na taratibu za mahari zipoje? Kwani navyojua mahari ni ya baba na kama baba hayupo mahari ipokelewe na yeyote upande wa baba yaani shangazi au baba mdogo au mkubwa.
😂😂😂😂🤝Kama sio mke mwema achanae babu, kama unajua sio mke mwema kilichokufanya ulete thread ni nini ?
je, mfano na huyo muoaji amelelewa na mama tu na hawajui upande wa baba na binti kalelewa na wazazi wake wote? Inamaana binti naye amkatae muoaji kisa kalelewa na mama tu? Msipende kuwadharau mabinti kiasi hicho. Ijulikane kwamba mke mwema hutoka kwa Bwana, na masuala ya ndoa kudumu au kutokudumu Mungu ndiye anayepanga na juhudi za wote wawili.Kama hatambui ndugu yeyote upande wa baba hakuna kuoa.