Je, nani anapokea mahari kwa binti aliyelelewa na mama pekee?

Je, nani anapokea mahari kwa binti aliyelelewa na mama pekee?

Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote.

Je, kwa scenario kama hiyo binti anafaa kutolewa mahari na kuolewa?

Na taratibu za mahari zipoje? Kwani navyojua mahari ni ya baba na kama baba hayupo mahari ipokelewe na yeyote upande wa baba yaani shangazi au baba mdogo au mkubwa.
She wants to marry a man who single handedly makes enough money to support a family (wife, children).

She also wants him to finish work by 5, be at home by 6 for dinner, NOT have to answer work emails in the evening, and not do any work on the weekend.

Trad Con Fantasies.
 
Uo ndiyo utaratibu wa mahari, hata ukioa unajua umeoa kweli maana unajua ndugu za binti pande zote mbilina zimeshiriki kukupa mke.
Nina mtoto wa dada yangu mwanaume alikataa mimba na hakutaka dada awajue ndugu zake kabisa na mwanaume aliondoka hatujui hata yupo wapi mwaka wa 20 huu.Kwa hiyo binti akitaka kuolewa asiolewe kisa ndugu hawajulikani? Sijui kwa taratibu zenu ila kwetu kwa issue kama hii mahari watapokea wajomba upande wa mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mtoto wa dada yangu mwanaume alikataa mimba na hakutaka dada awajue ndugu zake kabisa na mwanaume aliondoka hatujui hata yupo wapi mwaka wa 20 huu.Kwa hiyo binti akitaka kuolewa asiolewe kisa ndugu hawajulikani? Sijui kwa taratibu zenu ila kwetu kwa issue kama hii mahari watapokea wajomba upande wa mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa watapokea waliomlea baasi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nina mtoto wa dada yangu mwanaume alikataa mimba na hakutaka dada awajue ndugu zake kabisa na mwanaume aliondoka hatujui hata yupo wapi mwaka wa 20 huu.Kwa hiyo binti akitaka kuolewa asiolewe kisa ndugu hawajulikani? Sijui kwa taratibu zenu ila kwetu kwa issue kama hii mahari watapokea wajomba upande wa mama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha na hao wasiojua mila na desturi wanajificha mapungufu yao kwenye kichaka cha hizo mila. Hao jamaa ni zero kabisa hawana wanalolijua na hawajawahi pokea mahari yoyote wala kushiriki kutoa.
 
Kweli mkuu, tatizo humu jf wamejaa singo Maza wengi ambao wana binti zao na wanategemea kuwaozesha bila uwepo wa baba au ndugu wa baba wa binti.

Kwa mwanaume anayejielewa hawezi kuoa binti aliyekulia katika hayo mazingira kwani tabia ya binti uwa ni copy ya tabia ya mama yake na ndo maana ndoa nyingi hazikai kwa kipindi hiki kwa sababu ya watoto walio lelewa upande mmoja
Sasa wewe mwanaume unayejielewa si utafute huyo aliyelelewa na wazazi wote ili mambo yasiwe mengi😂😂😂. Mnahangaika
 
Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote.

Je, kwa scenario kama hiyo binti anafaa kutolewa mahari na kuolewa?

Na taratibu za mahari zipoje? Kwani navyojua mahari ni ya baba na kama baba hayupo mahari ipokelewe na yeyote upande wa baba yaani shangazi au baba mdogo au mkubwa.
Madhara ya uzinzi na uasherati hayo.
 
Kama hatambui ndugu yeyote upande wa baba hakuna kuoa.
je, mfano na huyo muoaji amelelewa na mama tu na hawajui upande wa baba na binti kalelewa na wazazi wake wote? Inamaana binti naye amkatae muoaji kisa kalelewa na mama tu? Msipende kuwadharau mabinti kiasi hicho. Ijulikane kwamba mke mwema hutoka kwa Bwana, na masuala ya ndoa kudumu au kutokudumu Mungu ndiye anayepanga na juhudi za wote wawili.
 
Back
Top Bottom