Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
🤣🤣🤣🤣Imebidi Nami nicheke tu...daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jf Raha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Imebidi Nami nicheke tu...daah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jf Raha sana
Tatizo unachukulia rahisi sana labda uelewa wako ni mdogo kuhusu jambo hili.Wape upande wa mama,waliolea binti inatosha....
Sawa ngoja nimalizie usingizTatizo unachukulia rahisi sana labda uelewa wako ni mdogo kuhusu jambo hili.
Hivi unadhani ni kwanini ukoo wa upande wa pili unapaswa kushiriki kwenye mahari?
Kama baba mzazi hayupo lazima upande wa baba awape mtu yaan shangazi au baba mdogo na mkubwa. Haiwezekani ukoo mzima wa baba hakuna mtu wa kuwakilisha.
Mkuu, unaenda mbele halafu unarudi nyuma.. mwanzoni umesema kuwa kwa upanda wa Baba yake hakuna anayemfaham hata mmoja, halafu hapa unasema lazima wawepo, watakuwepoje wakati hawafahamiani!?? Au unataka sisi tukakusaidie kuwatafuta ndugu zake!??Kama baba mzazi hayupo lazima upande wa baba awape mtu yaan shangazi au baba mdogo na mkubwa. Haiwezekani ukoo mzima wa baba hakuna mtu wa kuwakilisha.
Hujui chochote kuhusiana na mila nyamaza wajuao wajibuBe seriously too then upate wa kufanana nao....pole Kwa binti
Achana nao hao, hawajui mila, ulizia zaidi kwa wakubwa mahari sio jambo dogo la mzaha, usukumani inapotokea hivyo upande wa kiume hupokea mahari na hugawanywa kwa makaka wa dadaTatizo unachukulia rahisi sana labda uelewa wako ni mdogo kuhusu jambo hili.
Hivi unadhani ni kwanini ukoo wa upande wa pili unapaswa kushiriki kwenye mahari?
Kwani waoaji wanataka kumpatia nani? Pia, waoaji watataka kumuona baba wa mtoto. Kwani huyo baba aliikataa hiyo mimba au huyo mtoto?Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote.
Je, kwa scenario kama hiyo binti anafaa kutolewa mahari na kuolewa?
Na taratibu za mahari zipoje? Kwani navyojua mahari ni ya baba na kama baba hayupo mahari ipokelewe na yeyote upande wa baba yaani shangazi au baba mdogo au mkubwa.
VizuriHujui chochote kuhusiana na mila nyamaza wajuao wajibu
Ni Kweli kabisa.Ogopa mapel binti anaelelewa na mama tu hafai kuwa mke ,hamsikii tu kwa sasa ndoa ni utapeli wa hali ya juu?