Je, nani anastahili pongezi katika soka la Tanzania?

Mkuu baniani mbaya kiatu chake dawa. Hakika tusione mapungufu tu ya TFF ila wamefanya kazi kubwa sana....tuwapongeze.
Sana TFF wamekuwa very smart for the past five years.
Kwanza kuanzisha bodi ya ligi was a smartest idea imefanya mapinduzi makubwa sana.

Vilabu vinatakiwa vianze kuboresha departments zao wawekeze na kwenye masoko.

Wanapaswa waanze kufanya trading.
 
Wawekezaji pekee ndio wanaostahili pongezi zote

Azam/Bakhresa na Mo Dewji wanastahili tuzo maalum

Akina Haji Manara ni midomo tu, sidhani kama mchango wao umeleta makubwa yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…